Tunashukuru , naomba kuuliza hizo no zinapatikana wakati gani. Kwani hiyo no ya Voda nilishawahi kupiga zaidi ya mara kumi bila kupokelewa na nilikua na tatizo la dharura. Nikaishia kupoteza fedha zangu za muda wa maongezi bila simu kupokelewa.
Salama wadau,naona tuzo za Kilimanjaro music awards ndio zimeanza mlimani city na ziko live Clods tv na ITV, well naona kuna weakness zimeanza kuonekana,kuna jamaa yupo stage ndio mshika mic,Kwa nini wasingeweka stand kwa ajili ya hiyo Mic,kwanza wanamchosha,pili haileti Picha nzuri,mtu anataka...
Anaulizwa eti alizaliwa mwaka 1991 na kweye passport imeonyesha 1989 ipi ni kweli,anarudia kusema eti hayo yameshapita,amefunga ukurasa huo.sasa mbona haweki wazi.!!!!
Ishu sio kuwakosoa@ mwangalingimungu, yote uliyoyaongea ni sawa lakini hawajatoa ufafanuzi wa kueleweka na kama mdau hapo juu alivyosema wana chanel ya TBC2 kwa nini pia wasiitumie pale ambapo huku kuna vipindi ambavyo wanahisi ni muhimu kwao kuvionyesha. Tatizo na jinsi wanavyotoa maelezo...
Wadau wapenda soka,taarifa ya habari ya mida hii ya TBC1 maneja wa vipindi alikua anaelezea jinsi baadhi ya vipindi vyao vitakavyo athirika kutokana na kombe la dunia, kuna jambo kaongea hapa mimi sijamwelewa, eti kuna baadhi ya mechi hawataonyesha bali watazirekodi na kuja kuzionyesha kesho...
Touched by your words,kweli kabisa umenena ukweli ndugu. Tunaishi na Malaika humu humu duniani na Mungu anawatuma kwetu kwa njia mbalimbali,kama ndugu aliyetupa haya maneno. Mungu azidi kutuonyesha njia na kutubariki na kuwapa afya tele wote wale wanaotuonyesha njia sahihi za maisha. Ubarikiwe...
Hivi huyu Hawa Ghasia anaelewa anachoongea eti anasema zamani waalimu walikua na uwezo wa kukaa miezi sita bila mshahara eti hawakalipwa mwezi wa nne wanalalamika. Kweli huyu ni waziri na mbunge anayewakilisha wananchi.aibuu hii! Hivi kweli kwa maisha ya sasa hivi mwalimu anaishije bila mshahara...
Hilo nalo swali kwa kweli,inawezekanaje wazazi nao walie na kuhuzunika kwa kutekwa kwa watoto wao. Kama kweli ni ishu imetengenezwa ni kiasi gani wanalipwa. Tuwaombee kwa kweli wawe salama na wapatikane.
Kuna jamaa kampokonya Maria Sarungi tuzo na wala sio yeye aliyeshinda. Aibu hii, hivi hawa watu wanaowasindikiza washindi wanakua na uelewa kweli! Duh nimeshangaa kweli!
Na lingine, kati ya Ozil na robben nani alifanyiwa faulu iliyoonekana zaidi. Ukiangalia suala la penalti ya ozil haikua na uhakika sana kwani inaonekana kama alijigonga kwa bouteng ila refa ndio final wa kila kitu ,so inabidi arsenal wajipange, kwao itakua sio rahisi kama tunavyodhani. Nway huo...
Vijana wa lumumba wameleta picha feki kijana kuwa makini,ili wapate cha kuongea,picha ya juu na ya chini tofauti ni kubwa sana,angalia shati la dr slaa picha zote mbili,zipo tofauti.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.