habari zenu wanajamii forum<br>narudi tena kwa mara nyingine, nahitaji vifungashio (package) ya vikopo vya 250ml, 350ml na 500ml.<br>kwa anaeweza kunisaidia sehem ya kupata au anauza ivyo vifungashio kwa uhakika na naweza kuvipata muda wowote ntakaokuwa nahitaji na kwa idadi yoyote tuwasiliane...
mbona watu wanasoma sociology na wanafanya kazi bank as bank tellers
wengine wamesoma uhasibu wanafanya procurement...nk!
WALIMU WENGINE MNAPENDA KULALAMIIIIIIIKA....aaaagh, MNATAKA TUWAONE KAMA SPECIAL GROUP, UALIMU NI FANI KAMA FANI NYINGINE BANA
:suspicious::disapointed:
Habar za asubuh wadau!
Nimepata mashamba maeneo ya kisarawe na ninataka mwaka huu nilime ufuta. Nimesikia ufuta una soko zuri na uhitaji wake ni mkubwa.
Naombeni taarifa sahihi juu ya ulimaji, upatikanaji wa mbegu, soko na msaada wa kitaalamu juu ya kilimo cha ufuta. Pia ntashukuru kama...
Iyo inaitwa corporate social responsibility, na it is ethical kwa kampuni. Na sisi waislam hatuna tattizo na izo activity za makampuni coz ni kweli yatima wanauhitaj huo na maskini pia. Na sio mwez mtukufu tu, kampuni kama voda huwa wanafanya muda mrefu sana haya mambo na sio mwez wa ramadhan tu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.