Habari wana Jf kwa mwenye kulifahamu hilo kampuni naomba msaada tafadhali kujua kama ni matapeli ama la kuna kazi walitangaza mwezi wa tisa Admin Officer Tanzania wamenitumia email kuwa nimekuwa shortlisted maajabu yanakuja natakiwa kulipia dollar 56 ili kupata certificate ya PSYCHOMETRIC...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.