Hoolah to the iron lady Upendo,so daring and ever determined...we have our sisters at home who simply say yes to everything...huyu mdada alijaribu maisha plus,akathubutu ubunge viti maalum 2010 akiwa kinda kweli kweli!!!Here she comes again and this time she gonna make it,tunahitaji independent...
Rais Jakaya Kikwete akilagiza kukamatwa kwa wahamiaji haramu walio katika mkoa wa kagera,cha kusikitisha katika hili ni vigezo vinavyotumika kuwatambua wahamiaji haramu na hasa wale wa kutoka nchi ya Rwanda ni vya kusikitisha na vinakiuka haki za binadamu na kuleta uonevu uloikishiri hasa kwa...
kauli ya Kikwete kuwa serikali ya Rwanda ifanye mazungumzo na FDLR imeweka majibizano makubwa kati ya hizi nchi mbili ambazo kama wananchi inabidi tusifurahie kwani vita sio kitu kizuri kwa maendeleo ya taifa letu. Pamoja na kuwa kauli hio ilitamkwa na rais wangu ila inautata mkubwa sana. Waasi...
Watanzania wa leo si wa iaka ya 1960s,ni watu wanaowaelewa CCM na mbinu zao aza kuuwa upinzani ila waweze kupeta tena.Lazima wafahamu kuwa wakati wa mabadiliko ndio sasa na itaeleweka jinsi gani ambavyo wanataka kuiharibu amani ya nchi yetu kwa mateso ya wanaharakati wetu.
Ulishawahi kufikiria faida za harakati za chadema kuwa hata Kama haitaingia Ikulu, itakuwa imetengeneza Jamii ya watanzania wapigania Haki yao.Watu ambao hawatakuwa tayari kuvumilia kwa kunyimwa haki zao ktk nchi yao
Lazima tukumbuke kuwa Katibu Mkuu aw CCM alikwenda china na kutamkanwazi kuwa wanawakaribisha wachina kuja kuwekeza nchini Tanzania hivyo alienda kujitembeza sasa wamekuwa kusaini miaka tabia 17 ambayo hatujui utelekezwaji wake.
Ni wakati wa kuangalia katiba tunayotaka ili mikataba iwe inapita...
Hajaacha mwenyewe hivyo asitudanganye kuwa eti kaacha mwenyewe ili kuja kulitumikia taifa lake.Sidhani kama anafaa hata kugombea urais bongo kwetu kama kweli alikuwa hatulii ofisini,ni kweli kwamba hata sisi hatatufaa kwa sababu, we need more than serious people sasa kuliendeleza taifa hili.
kigezo cha kuwa wanaitaji mazingira kuboreshwa ni cha muhimu sasa na malipo yao pia yaangaliwe wasiishie tu kupewa elimu ya bure.serikali isikilize malalamiko ya watendaji wake hata kabla ya migomo ili kuepusha uvunjifu wa amani na watu kupoteza haki yao ya kuishi hasa katika mgomo huu wa madaktari.
hata pamoja nakufikiria labda io statement inatokana na kukataliwa ushoga sawa LAKINI hamna ambacho kimesemwa kigeni ambacho watanzania hawajakiona na ujinga huo wote umekuwa ukijadiliwa ila hasikiii wala serikali yake haisikii.Tuko kwenye nchi ambayo haina vipaumbele ambao wataongea kilimo...
Hivi kabla ya mgomo wagonjwa walikuwa wanapata huduma nzuri na watu walikuwa hawafi kwa sababu walikuwa wanapewa huduma nzuri mahospitalini?
Watu walikuwa wanakufa na pia walikuwa hawapewi huduma nzuri lakini kwa mgomo huu huduma zimesitishwa na vifo vitaongezeka zaidi,kila mtanzania ana haki...
kama niliwaelewa vizuri CHADEMA,nadhani kwa kuwa mara nyingi serikali imekuwa ikilalamika kuwa chadema wao ni maandamano tu wao wataki kisikiliza wala kupatana,nadhani wao kwenda kwa kikwete ilikuwa kutafuta suluhisho kabla ya kufanya maamuzi mengine ili kujaribu kutumia negotiations katika...
sheria hii ipo kuwabana vyama pinzani na sheria hii kutaka vyama vingine kufuata utaratibu wa CCM ni makosa na huonesha kuwa sheria ilitungwa kukidhi matakwa yao.may democracy prevail na sheria hii kulekebiswa
Tarehe 22-27 Machi, 2010 ni tarehe za kujiandikisha katika daftari la wapiga kura kwa wakazi wote wa Dar es salaam, wote ambao umri unazidi miaka 18 twende tukajiandikishe.
Kitambulisho kikiwa kimehalibika maandishi kutoonekana vizuri,nenda ukajiandikishe upate kitambulisho kipya.
Kama...
ujenzi mwingi wa nyumba hugeuzwa kuwa nyumba za wenye pesa na hununua nyumba hizo kwa bei nafuu na kufanya mradi ni kwa matajiri kujiongezea,ujenzi mwingi wa nyumba kwa madai za bei nafuu kwa masikini.
vyama kuonganisha nguvu ni ndoto ila wananchi ndio waonganishe nguvu na kuunga mkono chama wanachoona kitawasaidia na kuepuka kugawa kura na kufanya viongozi wasiofaa kuendelea kuongoza
maendeleo hayata onekana kama ni kwa kufata umaarufu kwani wengi wanawake maarufu ila wanatofaitiana umaarufu wa aina zipi,uwezo wa mtu uangaliwe zaidi ili isiwe bora mwanamke ktk nafasi hizo bali mwanamke anayefaa katika utendaji na kusukuma kurudumu la maendeleo
with all that Mwalimu where you cant seen,the guy is struggling to have the next five years for a show off.trying with his government to correct today what they have failed to implement in the first round of presidency,I guess he needs a direct warning from you.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.