Leo kipindi cha Planet Bongo huku Dj Summer na yale manjonjo yake balaa tupu kule Dula Planet mwenye Bongo yake mara paap nikasikia goma la Rayvanny na Zuchu Number One limechezwa hewani nimefurahi mnooo maana yake bifu limeisha kati ya EA RADIO na WCB
Kama marafiki zake wa 4 ni malaya, basi yeye ni malaya wa 5..
Kama unataka kujua demu wako ni mwanamke wa aina gani, kuwa karibu na marafiki zake..
Marafiki zake watakuonyesha demu wako ni mwanamke wa aina
gani..
Wekeza hela zako kwa ajili ya future wife wako na watoto wako..
Kama zinakuwasha na unataka kuzitoa basi wape wazazi wako, ndugu zako au hata majirani zako..
Sio kumpa binti kisa eti ni mzuri, Inatakiwa apewe na wazazi wake kwa kumfanya awe mzuri na wakuvutia..
Kama Mwanamke Anadharau Mishe Zako, Achana Naye..
Kama Mwanamke Ana Heshimu Mishe Zako, Kuwa Na Mahusiano Naye..
Kama Mwanamke Anakusaidia Katika Mishe Zako, Muoe..
The same same mother atanuna mwanae wa kiume akioa mwanamke aliyezaa. Possibly akamkataa even. The same same mother atamshukuru Mungu na kutoa sadaka mwanae wa kike aliyezalishwa akipata mwanaume wa kumuoa
Kuna Huyu unamdai hakulipi Halafu bado hajijali anavuka barabara bila kuwa Makini, Mara anapanda bodaboda havai helmet, unaona kama Yupo Tayari kufa na deni lako, inauma Sana!
Ni Tanzania pekee unamtambulisha rafiki yako kwa rafiki yako mwingine then boom wanakua mabestie kukuzidi alafu wanaanza kukusema wewe na ukoo wako mzima.
Kama Asubuhi Hii Ameamkia Kwako Kakupa Na Morning Glory Kisha Kapasha Kakiporo Kapilau Alipika Jana Kakutengenezea Na Chai Ya Maziwa Ya Unga Kamalizia Na Vyombo Vichafu Na Kudeki, Sahizi Kajilaza Pembeni Ana View Status Za Mashosti Walio Kuwa Out Jana. Bro Oa Huyo Mwanamke
Sent using Jamii...
Ulikua na umri gani ulipogundua kua neno unga wa dona, sio unga unaotokana na mahindi yasiyokobolewa bali ni unga wa msaada kutokana na njaa ya mwaka 1974 (unga wa donor)
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.