Jk urais umemshinda hilo liko wazi. ccm tuoneeni huruma watanzania tupeni mtu mwingine 2010. huo utaratibu wenu wa kutaka rais atimize vipindi viwili pasipo kuangalia maslahi ya nchi mnatupoteza. Huyu mtu hawezi na mshaurini akubali kupumzika awapishe wengine. atakuwa amejijengea heshima...
polisi wa Tanzania msitufanye sisi wajinga, kama jery alidai rushwa basi alipaswa kukamatwa na askari wa pccb na siyo polisi wa kova. pingu na miwani ninyi ndiyo mmevitega kwenye gari lake. huyo afisa wa bagamoyo alikuwa anatoa rushwa ili iwe nini wakati watanzania wote tunajua ni fisadi. sasa...
Du! sasa Luhingo akiondoka gazeti la Rai ndio litakuwa limekufa kabisa. binafsi nikibahatika kuliona mezani basi nitamsoma luhingo tu . niliacha kulinunua . sasa huyu bwana akiondoka basi tena. labda manyerere arudi free media aendeleee kuwa manyerere maana sasa sijui yupo? mafisadi bwana
Nenda benk zifuatazo NBC,ACB,au Accesses onana na maafisa mikopo . peleka salary slip yako ya miezi mitatu na barua ya mwajiri wako. watakukopesha hata mara kumi ya mshahara wako kwa sharti kwamba mshahara wako wa mwezi upitie kwao. ni rahisi tu
Balbour Merei navyo jua anamiliki TIOT sina hakika kama ni ya familia au ya kwake, pia inasemekana Mkuu wetu wa majeshi mstaafu Jen. Robrt MBoma ni mwanahisa kwenye hiyo kampuni. pia bwana Merei alikuwa na kesi ya kuibia benki ya Baclays Bank kwa njia ya mtandao sijui ile kesi imeishaje.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.