Mlitoa taarifa kwamba mtambo wa Luku unafanyiwa maboresho, kuanzia jpili usiku mpaka j3 saa tatu asubuhi,
Lakini chakushangaza mpaka leo tar 22 juma tano bado luku haipatikani!
tunaomba mtoe taarifa ambazo niza kweli. mpaka jana mtaani kwetu nyumba nyingi zilikua giza! hamuoni...
Ushauri, namba ziwe vile vile ila kila mkoa plate namba yake iwe na rangi yake, ile mikoa ambayo watu hawaipendi ushuru wa kuingiza gari uwe chini sana ili kurahisisha maendeleo mikoani, na gari likija mjini liwe na kibali maalum.
Nijibu swali langu moja tu, 10Bil ukigawanya kwa 20 kila jengo ni 500mil, Naomba kadiria gharama za ujenzi kwa jengo moja nafikiri haitapungua 150mil. je iliyo baki itajenga kweli?
Tanesco ni shida mimi nipo Negero Tanga njia ya kutokea Handeni kwenda turiani, nguzo na Transfoma ziliwekwa tangu mwaka wa juzi 2015, lakini hawataki kuwasha umeme.
Habari wadau mimi nipo Dar na familia yangu nauliza natawezaje kwenda kumuona rais mstaafu jakaya mrisho kikwete, Kama yupo humu anomba anijibu kama ombi langu atalikubali. ahsante.
Ni maoni yangu tu, mheshimiwa hii wizara ya ujenzi, uchukuzi na mawasiliano kiukweli ni kubwa mnoo.
Nakumbuka hii ya ujenzi ulikua wewe na ulikua unaona ulivyokua unazidiwa na safari kwenda kukagua miradi, na ndy maana makandalasi walikua wanajitahidi, ila kwa sasa mh mbalawa hatoweza...
Diamond; rudi kwa baba yako kijana kabla yupo hai, akija kuondoka duniani hatuombei ila ataondoka na kinyongo na wewe, Hivyo hutakua hapo ulipo. Watu wanakudanganya eti hata akikulaani haikupati sio kweli kabisa baba ni baba tu. Hata vitabu vinasema watii wazazi wako hao ndy mungu wa duniani...
Mh rais, sitisha hili zoezi la bomoa bomoa kwa wakazi wa mabondeni. Tunajua kua kuna baadhi walipewa viwanja na wengine hawakupewa kabisa, Ijulikane kwamba hakuna mtu anaependa kuishi kwa tabu kiasi kile kwenye mvua hua hawana amani ila ni shida tu!
Nafiki tunazalisha kizazi cha kuichukia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.