Dah, kitambo sana hii kitu
Huu utapeli nikiwa na Maza mwaka 1994 maeneo ya Kiwalani walitokeaga jamaa wawili hivi hivi wakataka kumtapeli Maza. Shida ni kua Maza aliona udwanzi kuanza kizunguka nao akiwa na Mimi, hapo nina miaka kama 13 hiv.
So kwakua Maza aliona kuanza kuzunguka na mimi...
Mama akiwa Msaidizi alikubaliana na Jamaa kuhusu kushusha bei ya kuunganishiwa Umeme, lakin jamaa alivyoondoka tu Mama akasema ki uhalisia ile bei ilikua haiwezekaniki.
Kitu ambacho sina uhakika ni tarehe halisi aliyofariki JPM. Lakini hata hivyo kitu ambacho nina uhakika nacho ni Mabeyo asingeweza tena kutaja tarehe tofauti na iliyotajwa awali hata kama ndio tarehe ya kweli.
Zamani kitengo chao Cha operesheni kilikua moto sana yaaan ilikua ushangai wanawategeshea wapenda rushwa zile hela zao za moto maofisini, matrafiki walikua waoga maana mda wowote wananaswa na wale jamaa, ilikua mabosi hawana upendeleo ule kisa ngono maana majamaa walikua siriaz. Cjui wamekumbwa...
Nyinyi watu wengine mnaboa sana, hata mnaweza kufanya mtu akajuta kufungua nyuzi zenu.
Unasema kiwanja kimepimwa kabisa kwa hiyo kitakua na documents halali (leseni, offer au title deed) kisha unakuja kuzungumzia habari za miguu, kwa hiyo documents za kiwanja zinaonyesha vipimo vya miguu...
Hata mimi niliwaza hivi hivi.
Shida hapa ni mshiko, mchezaji hahami tu hivi hivi kama vile unamuacha demu huyu na kuchukua mwengine.
Simba watatakiwa wanunue mkataba wake pale Pyramid. Labda itokee Pyramid wakubali tu hasara kama walivyomtoa Al Ahly Kwa Louis Josee Miquossoine.
Nilitaka nianzishe hii mada, umeniwahi. Sio tu kwamba sio timu dhaifu, bali pia nao wana nafasi ya ku qualify pia.
Jwaneng wakimfunga Simba, na Asec wakamfunga Wydad atapita Asec na Jwaneng.
Matokeo yote mawili yanawezekana sababu Wydad ashawahi kupoteza home against Jwaneng hivyo sio ajabu...
Kwenda 10km,
Kurudi 10km
Jumla 20km,
Mafuta lita 4,
Average= 5km Kwa lita.
Gari gan hiyo Mkuu? Unaweza kukuta unalalamikia bei ya mafuta kumbe gari bovu.
Hakimu anapomuachia mtuhumiwa hua anataja na "grounds“ alizotumia to make such decisions. Yaan vipengele vilivyompa doubt ni vipi.
Huyu wa hii kesi alisemaje kwani?
Nasisitiza Tena, "hata kitanda kikiwa kibovu kunakuwa hakuna shida yoyote".
Sio mko kwenye shughuli zenu za "kubovusha" kitanda Watoto au family members wengine wanawasikia.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.