Ben unazidi kukomaa kisiasa kwa kweli bado tunakutegemea na kukuamini utashirikiana na uongozi uliochaguliwa ili kuendeleza chachu ya mabadiliko....pamoja sana na Mungu akutangulie!!!
13.Anatokea kiongozi mwingine anawafananisha watanzania na mbuzi eti hata wakila majani poa tu ilimradi rada inunuliwe na watanzania walivyopoa wanasema sawa baba kwani kuwa mbuzi,kondoo etc kitu gani...kesho akiomba kura watampa aendelee kuwaita mbuzi wao poa tu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.