TANESCO
Habari za kazi?
Eneo letu la MARANGU MAUO Karibu na kanisa la KKKT BETHANIA kwa mwenyekiti Estomihi Mongi ambaye namba zake za simu ni 0753716202 Tunaomba msaada wa haraka.
Ninaijulisha ofisi yako kuwa tangu mwaka 2018 au kabla tumekuwa tukiripoti katika ofisi ya Tanesco HIMO-Moshi...
Kwa taarifa nilizozipata hii idara kule Rwanda imewahi kutunukiwa tuzo za huduma bora kwa taasisi ya serikali kimataifa kwa mfululizo wa zaidi ya miaka mitatu. Kuna jambo la kujifunza hapo.
Kama haujapata tumia ICON, inapatikana maduka ya pembejeo. Ukifika waambie wakuuzie original maana nyingi zilizopo ni fake. Hii inauwa mende, mbu na wadudu wengine wote na hudumu kwa miezi kadhaa hivyo kusaudia kuwaua hata wale wanaozaliwa baadae.
Waandishi wa habari zenye mustakabali wa Taifa kama Jenerali na wengine walipoziandika kwenye magazeti yao mpaka Ile walionekana "siyo raia" Ana wazushi n.k. lakini Leo TTCL and the co wanayo taarifa zile zile wanaonekana wa maana
Afadhali kama ameuona uozo kwenye hizo taasisi ila bado majibu ya makontena yaliyopotea, vile vichwa vya treni visivyo na mwenyewe, magari yaliyoingizwa kama nguo za mitumba nk. Walau kila issue ikianzishwa iishie kwenye uwajibishwaji wa wahusika na wenye nchi wapewe taarifa.
Watakuwa wamefunzwa na "Interhamwe" na ISS. Imenisikitisha sana na inaumiza. Mungu awape nguvu wazazi na ndugu wa marehemu. Serikali ichukue hatua stahiki kwa wahusika wote na ikiwezekana baada ya uthibitisho kuwa yanafanyika mateso ya aina hii kwa vijana wetu kwa muda mrefu, shule itaifishwe na...
Kwa taarifa chache nilizonazo ni kuwa balozi zetu nyingi hazifanyi kazi zake inavyotakiwa hata raia wakipata shida ama kure-quest chochote huweza kuchukua miaka mingi bila kusikia majibu yoyote toka kwao. Ni kama zipo kwaajili ya mambo fulani fulani machache tu. Nadhani tunahitaji seriousness...
#1. Unaponunua Simu aina yeyote hakikisha charger na cable unazopewa ni za aina hiyohiyo ya Simu husika (original).
#2. Hakikisha hautumii charger au cable Za Simu yako kwa vifaa au Simu nyingine hata kama ni brand hiyohiyo japo model tofauti.
#3. Usitumie charger yako kwa cable nyingine kuchaji...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.