Search results

  1. W

    VAT juu ya ununuzi wa umeme wa TANESCO

    Naomba kuelimishwa juu ya mahesabu ya kukokotoa VAT kwenye mauzo yenu ya umeme wa TANESCO. Nimeona kuwa TANESCO wanakosea kukokotoa VAT kwenye kiasi anacholipa mteja. Badala ya kukokotoa VAT kutokana gharama ya umeme alionunua mteja, TANESCO wanakata kwanza VAT halafu inayobaki ndio wanaigawia...
  2. W

    NIDA wanauza nchi yetu kweupe kabisa

    Vitambulisho vya NIDA sio uraia. Hivyo ni vitambulisho kwa ajili ya wakazi wote - wenyeji na wageni. Hata wewe ukienda nchi nyingine, ukapata permit una haki ya kupewa kitambulisho kama vya NIDA. Usijali sana.
  3. W

    BBC Swahili imedanganya kuhusu nchi wahisani kurejesha misaada BAADA ya hotuba ya Jakaya Kikwete?

    Wahisani waliahidi Dola milioni 500, Dola bilion 84 mbona ni nyingi sana!!
  4. W

    A very touching story, never judge anyone

    Ndivyo wanavyofanya madaktari wetu, ila wanaambulia kulaumiwa na kujeruhiwa. Wanadai mazingira mazuri ya kazi ili mgonjwa aweze kuhudumiwa vizuri na apone. Wao pia wana familia zinazohitaji huduma hizi na huduma zingine Serikali yetu haijui kuwa madaktari wasipokuwa na mazingira mazuri wanaweza...
  5. W

    Mkasa wa Dr. Ulimboka: Inawezekana Kabisa Sio 'Inside Job'!, bali ni 'Smear Campaign'?!

    Subiri siku yako ifike kama hutataka watu wote wakuhurumie!
  6. W

    Human Rights' Press release on Dr Ulimboka

    Andikeni hilo tangazo kwa kiswahili wajameni hata wengine ambao hatukupata waalimu wa kiingereza tujue mnachosema
  7. W

    Tundu Lissu hukumtendea haki Pinda kumtaka ajiuzulu

    Mungu amtazame mgonjwa wako, maana yeye si mwanadamu.
  8. W

    Mhe naibu waziri wa mawasiliano....

    Kwani hujui magamba wanawatumikia wawekezaji? MAWASILIANO ni voda, airtel, tigo ... akitoka hapo anaenda kuwafanyia mpango TCRA au TIC KILIMO KWANZA ni wawekezaji toka magharibi na mashariki, na kuwaunganisha na TIC MADINI, UTALII ni hivyo hivyo Shule na vyuo vyetu hakuna anayehangaika navyo...
  9. W

    Orodha ya baadhi ya makampuni na Ardhi iliyonyakuliwa na wawekezaji wa kigeni

    Tumeacha kulinda aridhi yetu, Tumewapa mamlaka watu wanaopenda pesa zilizoko benki na za wageni kuliko ardhi aliyotujalia mwenyezi Mungu.
  10. W

    Tanzania: Serikali yaagiza faru toka Uingereza!

    Hii ina maana gani? Ina maana faru wameisha kabisa kwenye mbuga zetu? au Hao faru ni aina nzuri zaidi? Isije ikawa kama samaki wa ziwa victoria ambao wamemaliza aina za samaki wengine!
  11. W

    MARTIN LUTHER KING, Jr NA UKOLONI

    Love them!
  12. W

    Kama kweli Wazanzibari "wengi" wanataka watoke kwenye Muungano mbona ni rahisi sana...

    Nakuunga mkono. Nashangaa MM anadai kuwa wabara hawajawahi kukataa muungano huu uliopo. Kundi la wabunge wa G55 miaka ile ilikuwa inadai nini? Bora kila nchi iwe na serikali yake ndipo tuwe na serikali ya muungano. Suala la muungano lingejadiliwa kwa kirefu kama watu wote, bara nza visiwani...
  13. W

    Maandamano, mkutano wa CCM/Nape Njombe

    Ama kweli CCM imechoka kama mzee. Kimekuwa chama cha mtu moja - Nape. Wamebaki kufuatilia CDM wanafanya nini ili nao waige. CDM wakianzisha Vua gamba Vaa gwanda, nao wanafeki, CDM wakifanya mkutano mahali, nao watajitahidi wafanye. CDM wakienda vyuoni nao wanaenda. Nape ona aibu, kaa na wenzako...
  14. W

    Changia CHADEMA; M4C

    Najua wewe sio chadema! Au hauko serious!
  15. W

    Ni vibaya kujua kinachosainiwa na viongozi wetu?

    Wanajamii na wataalamu ya mambo ya kimataifa, Wananchi hawana haki kujua kuhusu mikataba inayosainiwa na viongozi wetu? Mara kadhaa nimeona picha za viongozi wakisaini mikataba lakini kinachoripotiwa ni mkataba juu ya uhusiano wa kimataifa au mambo mbali mbali. Mfano halisi ni hii habari...
  16. W

    Slaa: Kikwete akipuuza nchi haitatawalika

    Nafikiri ushauri wako utamfikia mkulu ili akae kitako na wadau! ila JF sio punch, ni jukwaa tu kutolea maoni! Hivi ulikuwa mwanachama wa punch? Maana tulikuwa tukiuliza punch ni nani, kila mtu anasema hajui!
  17. W

    SUGU, achana na Muziki!

    Hoja yako nzuri sana ila hawajaielewa. Mbunge kuendelea na kazi yake ya zamani wakati anawawakilisha wananchi sio sawa! Ukiwa mbunge unapaswa kusoma mambo mengi sana ili upate hoja. Unapaswa kupitia hoja za zamani, hata miaka 20 iliyopita! Unapaswa kupitia sheria mbalimbali zilizowahi...
  18. W

    SUGU, achana na Muziki!

    Huyo mwanasiasa wa ulaya aliendelea kuwa mchezaji wa timu gani? Kinachotakiwa ni wabunge na mawaziri kuacha kufanya kazi mbili! Ubunge/uwaziri na biashara, sio kuacha fani! Kama anaalikwa na wenzake kwenda kutumbuiza, hiyo haina neno. Ila kama anaandaa na kutafuta pesa za kuandaa matamasha...
Back
Top Bottom