Hii ni mpaka Arusha inafanyika tena bora huko kilimanjaro ni 50-100, huku ni mamia ya wastaafu wanakusanyika! Mama yangu amesota siku tatu mfululizo kila akienda wanahudumiwa watu 300 wengine wanapewa namba kwa ajili ya kesho yake! Inakera na kuhuzunisha mno, ndiyo nchi yetu hii.
Ajabu kila...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.