Mimi mwananchi wa kawaida nimesikitshwa na kitendo cha hawa wakuu kulazimisha kununua umeme wa tariff one angali kwa zaidi ya miaka miwili nimekua natumia tariff 4. Kwa zaidi ya miaka 2 umeme wa elfu tano hutumika zaidi ya mwezi. Cha kishanhaza nimeambiwa kuna uhakiki kwa hiyo lazima kwa miezi...
Mapato ya Serikali siyo makusanyo ya TRA tu, kumbuka kuna uuzaji wa Treasury bonds, kuna mikopo ya ndani na nje, kuna Donor funds, kuna financial aids etc.
Kwa hiyo bado tunakopa huku tunalipa deni.
Lizaboni rudi shule ukajifunze.
Badala ya kujenga msingi bora kwenye elimu ya Msingi na Sekondari anahangaika na vyuo vikuu ambavyo vioo kisheria na vinakaguliwa mara kwa mara.
Atatue swala la watoto kumaliza darasa la saba bila kujua KKK - Kusoma Kuandika na Kuhesabu.
Namba tajwa hapo juu inatumika kuwaibia wateja wa vodacom M-Pesa na M-Pawa.
Wanapigia wateja na kujifanya ni wawakilishi wa Vodacom, watakupa info zote kukuhusu na pia watakwambia umeshinda zawadi za mpawa
Tunaomba muwe makini na tunaomna wahusika wachukue hatua
Wafanyakazi wa Startimes wakiongozwa na dada wa reception na wa idara ya simu ajulikanaye kama Lydia, wanaibia wateja na serikali.
Wachina wameweka bei ya vitu vyote pale na tangazo kuwa kila malipo upewe risiti. Lakini cha kushangaza hawa wadada badala ya kuuza betri kwa bei halali ya shilingi...
Tigo wameleta mtindo wa kukata salio hata kama hujatumia simu kabisa. Nimeweka 1500 asubuhi, simu ikawa haina chaji, imefika mchana nata kujiunha baada ya kuchaji nakuya nimekata 300, jumatatu ilikiwa hivyo hivyo.
Mimi nikiwa kama abiria wa DART maomba kuonyeshwa kukerwa kwangu na huduma zenu kwa wiki hii.
Kuna mpango mmeanzisha wa kusimama kila kituo hata lama gari limejaa.
Mgano sasa hivi nipo kwenye gari namba A-032 kutoka Kimara kwenda Gerezani
Dereva lasema kapewa maagizo ya kusimama kila kituo...
Mi natumia kadi yangu siku zote tena napanda mpaka mbezi.
Sijawahi kukatwa mara mbili na huwa naweka track ya safari na kabla ya kuongeza salio huwa naomba salio.
Halafu ukiscan mara moja mashine ikasoma ukijaribu kuscan tena itakuambia ALREADY VALIDATED" na kukutaka utumie OTHER LANE...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.