Nilisimama kulima nyanya kwa muda mrefu, na sasa nataka kurudi kulima nyanya tena. Naombeni msaada wenu ipi mbegu bora ya nyanya kwa sasa na haipigwi na kinyausi.
Watu zaidi 6ooo wapo hatarini kukosa makazi baada ya waziri wa mali asili kutoa siku tisini bungeni kwa waliovamia msitu wa Bondo Mswaki wilayani Kilindi, waziri hakuchukua taarifa ya uhakika alipewa taarifa ya uongo na mbunge wa Kilindi, Omar Kigua kwamba wapo watu 4oo jambo si kweli.
Wapo...
Mwanaharakati machachari, Renatus Mkinga, amemuomba Rais John Magufuli kuwa akiunda Tume ya kuchunguza madhaifu pale Bandari anaomba na yeye awepo.
Ametoa kauli hiyo leo wakati akizungumza katika Kituo cha Televisheni cha Startv kwenye kipindi cha tuongee. Anasema yeye anajua mengi kuhusu...
Kuna baadhi ya watu wanabeba mabango yaliyoandikwa KASKAZINI IKULU LAZIMA TUENDE, hayo mabango hayana nia njema kwa UKAWA na pia kwa Lowassa. Yapo kwa jili ya kutugawa kwa ukanda na kudiscourage wengne wakanda nyingne. Naomba yadhibitiwe mapema na haraka mno.
Zito kabwe amesema tatizo la ufisadi nchni cyo tatizo la mfumo ni tatizo la mtu.suala la richmond lichunguzwe ilikubaini nani amehusika kuliko kuacha linaelea alisema zito kabwe...rfa magezeti asabuhi
Dr slaa atakuwa karatu tarehe 12\8.atakuwa na mkutano nawazee wa karatu nabadaye atakuwa na mkutano wa hadhara.mambo atakayezungumzia nipamoja na mambo yanayoendelea ndani ya chama na ukawa kwa ujumla.
Mbunge wa Karatu bwana Yohana Natse amejitoa kuwania ubunge.Mpaka sasa hivi waliochukua fomu kwa tiketi ya CHADEMA Karatu ni Wele Qambalo, Sesilia Paresso na Lazaro Titus.
Wakuu nashndwa kuelewa ni kwann maeneo mengine Tanzania hi haina upinzani?
Maeneo kama Tanga Pwani na Morogoro. Mwanzoni nilielewa ni mwamko wa wananchi ktk mikoa husika haupo. Baada ya kutembelea hiyo Mikoa tajwa hapo juu katika shughuli zangu za kawaida niligundua mengi sana katikaa siasa za...
Baadhi ya waandishi wa habari na wadau wengine wa habari wakifuatilia hafla ya uzinduzi wa kampeni maalumu za kitaifa za kupinga ndoa za utotoni (National Ending Child Marriage Campaign), zilizofanyika jijini Dar es Salaam kampeni hizo zitaendeshwa Mkoani Mara.
SERIKALI kupitia Wizara ya...
Dereva wa majaji wa mahakama ya EAC auawa kwa risasi na mlinzi baada ya bastola ya mlinzi wa ofisi za jumuiya hiyo kumfyatukia.
Polisi yasema ni bahati mbaya.
=========== Habari kamili ==========
Dereva wa jaji EACJ auawa
Dereva wa mmoja wa majaji wa Mahakama ya Jumuiya ya Afrika Mashariki...
Nape nauye amesema theluthi 2 ya zanzibar ipo.hakuna tatizo lolote litakolosimamisha bunge maalum la katiba sababu kisheria colum imetimia ila kuna tatizo kisiasa sababu pawe na maridhiano pande 2 hata na hvyo hakuna tatizo sana sababu vyama vilivyotoka ni 3 na vilivyobaki ni i4 kwahyo hakuna...
Katibu Mwenezi Wa CCM Nape Nnauye amesema kamati kuu imebariki mchakato wa katiba maulum uendelee, alisema hayo wakati anahojiwa na redio ya DW leo mchana.
Kuhusu UKAWA Nape amesema hata kama wasipohudhuria vikao haitadhuru chochote sababu colum imetimia, japo kuna athari za kisiasa haidhuru...
Watu Wawili Wameuwa Na Kazaa Wajeruhiwa Baada Ya Majambazi Kuvamia Mjini Sirali Kwa Kupiga Risasi Walevi Polisi Yaanza Uchunguzi,,my Take Kwann Hawa Majitu Ya Mara Yanakuwa Makatili Namna Hi,unawaua Walevi C Ungechukua Hela Nakuondoka.Hu Ni Uhalifu Wa Binadamu
serikali imenyanganya kwa nguvu ekari 20alfu na kuwapa wawekezaji.hi habari nimeiona itv taarifa ya habari.kwakweli imenisikitisha sna jinsi afisa ardhi wa mvomero alivyotoa ufafanuzi,alisema "km huna lease huna mamlaka ya kumiliki ardhi,ardhi ni mali ya serikali"hakuishia hapo alipouliza kuhusu...
Deo Filukunjombe Amesema Ccm Wanatumia Uwing Wao Kwnye Bunge Maalum Ya Katiba,kitendo Hicho Ni Hatari Napia Kinaweza Athiri Upatikanaji Wa Katiba Mpya.
Amesema C Jambo Njema Kundi Lingne Wako Nje Wengne Wako Ndani,katiba Ni Yetu Sote Malumbano Yanini?Tupate Kwanza Muafaka Na Ukawa Ndyo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.