kwa sisi wa kiroho zaidi tunajua hayo ni malango ya kuzimu. Lazima maombi makubwa ya kuvunja ngome hizo yafanywe maeneo hayo. Maeneo ya kikavu ilikuwa hivyo hivyo lakini baada ya walokole kufanya maombi na kuandika zaburi mbali kule kwenye mawe mtoni pale kikavu mashetani yakakimbia na malango...
Mambo ya Tanzania yamekaa kiroho zaidi. Kwa hiyo mwenzetu analitazama swala la Tanzania kutoka kwenye mambo ya Kiroho, kwani hali ya mtu unayoiona katika uhalisia inatoka kwenye ulimwengu wa Roho. lazima uingie kwenye shule ya Roho Mtakatifu ndiyo uelewe haya mambo. Kama hujaenda shule ya Roho...
Bado naangalia kwenye website ya Open University of Tanzania, nia na madhumuni ni kutafuta maelezo kuhusu lini masomo yanaanza. Nikimaanisha kama ndiyo kwanza nimejiunga masomo yanaanza lini. Au ingekuwa kwa vyuo vya kawaida ningesema "je semester ya kwanza inaanza lini??" Sijaona maelezo yoyote...
Hilo neno my dear
hiyo ingetouch kila eneo
jarida litembee kuazia shuleni hasa secondary mpaka vyuoni na wale wa ngazi ya chini kabisa
good idea i like it
semina ilishapita kuanzia tarehe 31 january mpaka 7 february somo kuu ni jinsi shetani anavyoshikilia wazaliwa wa kwanza ki-cheo na ki- haki na kuvuruga familia. mchawi alikabithi zana zake.
Tupeni namna ya kuupgrade kwenye hiyo lugha ya wenzetu na siyo kushangaa.
primary- Mtaenda primary Schoo!!
Secondary- Ya Kata haina mwalimu wala dawati sembuse vitabu. Mzazi atajipiga kupata kitabu na dawati, how about waalimu na taaluma zao??
Advanced Sec. School- Mwirenge High school...
Wakati mwingine kiongozi anaweza kuchaguliwa na mungu halafu asiongoze kwa kusudi la mungu. Hapo ndipo yanapomkuta mamyo yanayofanana na matukio ya sasa.
Wakati mwingine kiongozi kama kikwete huchaguliwa na mungu(mzembe mzembe kama wengi wanavyosema), namungu anacha iwe hivyo ili mabo fulani...
kama neno linaumba basi lazima tuwe maskini. tunahitaji rais atakayetabiri utajiri katika Tanzania. Akiangalia kila mkoa aone plent of resources halafu azifanyie kazi na sio kulia tuuuuuuuuu. maskini ,!!!maskini !!!!!. Sisi ni matajiri bwana alaaaaaaaaaaa!
matanazite, maurainum, mafuta, makaa...
Wangemvumilia mwakyembe tu. Pamoja na mapungufu kama binadamu lakini yeye na ile kamati yao walionyesha jambo fulani kuhusu richmond. Mimi si wa kyela lakini namuunga mkono kwani katika kipindi hicho cha richmond alionyesha ujasiri together with his team na ujasiri mwingi, otherwise angepokea...
Hebu linganisha zile nyumba mbili na maendeleo ya pugu sekondari
eti maslahi ya taifa yalizingatiwa!!! Si kweli
hata kama sheria inasema hivyo, anastahili kujengewa nymba kama hiyo, ndulu kama mzalendo na mtaalamu wa maswala ya fedha alistahili kupunguza gharama kwa vigezo. Na tungemuona wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.