Hii ni baada ya serikali kupinga uongo uliochapishwa kwenye gazeti lao la the citizen.
Yaani bado hatujalisahau lile the east african tayari wameanza chokochoko zao tena.
Serikali ya Tanzania iwape hawa wakenya onyo kali sana la sivyo wafungashe virago vyao wasepe!
Kampuni ya mafuta ya nchini Ufaransa Total, imethibitisha kuwa itazalisha mafuta nchini Uganda licha ya kuanguka kwa bei ya mafuta yasiyosafishwa, huku ikisafirisha nishati hiyo muhimu kwenda masoko ya nje kupitia bandari ya Tanga.
Msimamo huu wa Total unaweza kubadili mjadala kutoka njia...
In a statement supporting LGBT rights, the President of Malawi, Peter Mutharika “wants gay rights protected,” his press secretary, Gerald Viola says. Viola made the statement in response to MP, Ken Msonda, who wrote on social media, urging citizens to kill gay people.
In a rare public...
Primary schools operating boarding sections have three years to phase it out as the government has moved to have all pupils in the country as day scholars.
Cabinet approved the decision that gives exception to special needs pupils on Thursday.
Speaking during a post-Cabinet media briefing at...
Wakenya wamejaa pale Arusha hatareee
Wanaingia na kutoka Tanzania kama vile chooni kwao
Kuna mmoja alikuwa ananitambia eti wameshika uchumi wa Arusha.
Magufuli fagia wote asee!
Ila Theon naye alikuwa kaanza ufala kuwageuka kina Stark.
Halafu huyo jamaa unayemsema alimbaka Sansa Stark.
Yaani huyo jamaa kifo chake kiwe slow and painful......i wanna enjoy it!
Unatakaje? Watu wapendelewe kwa dini? Kama huna akili huna. Kama unazo utapita tu.
Tusifike mahali eti wakichagua watoto kuingia chuo iwe ni nusu kwa nusu. Huo ni udini hatari!
Awali ya yote, niwatakie heri ya krismasi na mwaka mpya.
Mimi kwangu huku leo ni siku ya tatu sina umeme kisa hizi mita mpya za tanesco. wenzangu wote majirani wana umeme isipokuwa sisi tuliofungiwa hizi mita mpya.
Kama kuna mwanatanesco humu jua wewe ni jipu lililoiva!
Cc Tanescoyetu MagufuliJP
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.