hivi wewe unayeita madoctor ni machekibobu upo sawa kichwani? Umefanya home work kujua really facts au unaropoka kwa kusoma magazeti ya udaku tu?kama hauna cha kuongea funga bakuli lako
Wakenya sijui wanaringa nini jamani...ni masikini wa kutupa..washamba...wachafu...wabaya..roho mbaya...hawatupati kwa lolote...eti english? wanaongea english vibaya kama wanaongea kijaluo au kikikuyu...mavi yao
Tanzania sasa limeibuka limbi la makampuni yanayojiita Recruitment Agents eg Epic, Rada recruitment,Erolink,Infinity communication,etc...wamekamata nafasi zote za kazi kwa makampuni binafsi kiasi kwamba vijana wa kitanzania wanaomalizia vyuoni kupata ajira imekuwa kama ndoto...ni mpaka upitie...
wanafundisha kaka,lakini mwalimu wako kasoma 19 kweusi,kitabu kimeandikwa enzi za mawe....format hiyo itakusaidia nini mwaka huu 2010?
jamani mnaojua mambo mapya mtu up to date basi.......plz
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.