daah kweli ila serikali haifanyi poa.kwan mwaka jana muda ka huu yalikuwa tayari xaxa cjui wana nini.?wanatesa watu ajila wanachelewesha kuajiliwa kwenye mazingira magumu.
LEO mchana matokeo yametangazwa. em ndugu fanyeni mchakato muya upload humuhumu na pdf mtoe kwan vijana wetu wayaone kiuraisi kwan cm za weng hazina uwezo wa kufungua pdf.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.