Search results

  1. M

    Elimu Tanzania tunasomea ujinga? Wapi waliendelea kiviwanda kwa kununua ndege badala ya kuwekeza kwenye kilimo na elimu?

    Kwa mtazamo wangu kwenye utalii hatujawahi hata kujaribu,kwasasa tunabebwa tu na vivutio tulivyo navyo lakini hakuna investment ya maana iliyofanyika.Ndio maana nikasema,investment ktk Utalii ni rahisi na yenye faida ya haraka kuliko viwanda.Sisemi kwamba tuachane kabisa na viwanda.Viwanda...
  2. M

    Elimu Tanzania tunasomea ujinga? Wapi waliendelea kiviwanda kwa kununua ndege badala ya kuwekeza kwenye kilimo na elimu?

    Binafsi nafikiri mtazamo kuwa ili tuendelee ni lazima tuwe ni nchi ya viwanda,mtazamo huu sio sahihi.Uchumi wa viwanda ni safari ndefu sana na yenye siasa nyingi hasa siasa za kimataifa.Msingi wa wa viwanda ni sayansi na teknolojia,ambapo sisi uwezo wetu wa kisayansi na kiteknolijia upo chini...
  3. M

    Uchaguzi 2020 Hon.Tundu Antiphas Mungh'wai Lissu for Tanzania 2020

    Kwanza,Chadema watamteua kuwa mgombea?
  4. M

    Hali mbaya Bandarini/TRA, watu washindwa kukomboa mizigo yao!

    Hivi mpaka mfanyabiashara anaagiza mzigo,anakuwa hajui kodi bandarini atalipa kodi kiasi gani?.
  5. M

    E-tax banking issues: Mwenye kusoma na aelewe

    What is 10b kwa Bank?,unless ni Saccos.
  6. M

    Serikali ya CCM kwanini sukari ya kuuzwa shs 65,000 wanapandisha hadi 110,000 halafu mnasema Serikali ya wanyonge!

    Kazi yao ni biashara sio huruma.Kama wanakiuka utaratibu wachukuliwe hatua
  7. M

    Kikwete: Historia itatoa hukumu ya haki kuhusu uongozi wangu

    Wabongo ni kama watoto wadogo,daima huwa hawajui wanataka nini.
  8. M

    Ugali wa mahindi una madhara katika uwezo wa kufikiri?

    Mkuu,nafikiri mfumo wa ujamaa ndio ulio tudumaza.Wenzetu wamekulia ktk mfumo wa Ubepari ambao unamsukuma mtu apambane,tofauti na mfumo wa ujamaa unaowafanya watu wagawane umasikini tu.
  9. M

    Ugali wa mahindi una madhara katika uwezo wa kufikiri?

    Vipi Wanaijeria uwezo wa Bongo zao
  10. M

    CCM eleweni jinsi Uchumi wa Kibepari ulivyo!!

    Hoja nzuri japo imejaa CCM CCM CCM,jambo ambalo litapelekea watu kujadili kwa kuzingatia mirengo ya kisiasa.
  11. M

    Kiwanda cha dawa cha Reginald Mengi, ni siasa au biashara?

    Amehakikishiwa kuwa Serikali watanunua product yake
  12. M

    Suala la Managing Director wa Vodacom linafichwa ukweli wake

    Unafikiri ni nini?.Chairman anafanya maamuzi,CEO ni mtekelezaji tu
  13. M

    Suala la Managing Director wa Vodacom linafichwa ukweli wake

    Board chairman na members wa board wanatoa maamuzi,CEO anatekeleza.
  14. M

    Mbona Serikali inasema Benki ya NMB ni ya umma lakini CEO/MD ni mkaburu? Tunaficha nini? Faida inaenda wapi?

    Unajichanganya,kwani Watanzania wanamiliki 50% ya shares?,kwanini mnataka kuwachagulia CEO?
  15. M

    Mbona Serikali inasema Benki ya NMB ni ya umma lakini CEO/MD ni mkaburu? Tunaficha nini? Faida inaenda wapi?

    Ndio ni ya umma,ila sio ya Serikali.Serikali pamoja na watu wengine ni wanahisa tu.Nafikiri Wadenish ndio wenye hisa nyingi zaidi.
  16. M

    Ni shida gani ipo kwenye ndoa mbona wanandoa hawaonyeshani machombezo ya mapenzi?

    Wewe na mwenza wako,kama mnataka kuwa wapenzi milele,msiingie kwenye ndoa.
  17. M

    Kuoa Single Mama ni sawa na kunywa soda iliyofunguliwa na kuonjwa

    Kama kila mtu anavipaumbele vyake,kwanini wewe unalazimishia vipaumbele vyako kwa watu wengine?
Back
Top Bottom