Taarifa inatolewa kwa vyombo vya habari kuwa Kamati Kuu ya Chama imekutana leo Julai 26, 2015, jijini Dar es Salaam kwenye Kikao Maalum cha dharura kujadili masuala mbalimbali ikiwa ni pamoja na;
1. Maandalizi ya Chama kuelekea Uchaguzi mkuu.
2. Kupokea taarifa za mchakato wa kura za maoni...
Upendo. Wapiganaji hupendana namna hii. Si maCCM yanapigana hadi kutaka kutoana roho. Kikwete aliwahi kusema hawaaminiami kabisa wanaweza hata kuwekeana sumu...
Na kweli jamaa wanawashughulikia, dah hadi huruma. Wapigwe tu waondoke sasa maana tumechoka sasa utawala huu...
James Lembeli akiwa kazini...kuimaliza CCM.
Mkuu Mkuu Mkuu Meandu haya jamaa bhana. Yamekuja haraka haraka, yamekutana na kisiki, mwe yakaishia kutokuelewa. Sugu kapiga noma. Atawazunguka hivi hivi maCCM tena.
Umekuja. Hoja ni uwingi wa wagombea au uwezo wao na uadilifu. Hapa ni hoja kwa kwenda mbele kwa mbele. Au unaleta za MACCM kuwa mengi yakijazana mazee ya kupiga Escrow tu nakadhalika nakadhalika. Wewe vipi wewe. Haya angalia hapa chini.
Hii inaitwa shut up. Au hujasikia kuwa huko Kanda ya Ziwa...
Vijana wa siku hizi ambao hata UMISHUMTA au UMITASHUMTA au UMISETA hawakupita utawajua tu. Yaani mtu hata hajui maana ya kuwazunguka wenzake. Kaka ukajifunze riadha. Hizo ni misamiati za kwenye riadha. Ushanifahamu?
Haya ndiyo matokeo ya kura za maoni CHADEMA Jimbo la Mbeya mjini. Kamanda Joseph Osmundi Mbilinyi amemaliza ubishi wote hapa Mbeya. Maeneo mengine pia makamanda wanaendelea kupata wagombea wazuri. Mmoja wao anayesubiriwa ni mpiganaji Mwambi au Mwambigija au Mzee wa Upako.
Wana Mbeya wanamsubiri...
Matokeo ya Kura za Maoni nafasi ya Ubunge CHADEMA Jimbo la Same Magharibi- Kilimanjaro
1. Jonas Justo Kadeghe 98
2. Christopher Shangwel Mbajo 49
3. Gervas Eliewasha Mgonja 30
4. Elisifa Mbaga Godson 15...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.