Kwa taarifa za kuaminika kutoka Kagera wilaya Karagwe inasema watu wengi wenye asili ya Rwanda wananyanganywa vitambulisho hata kama watoto wamezaliwa hapa na wazazi wao wamezaliwa hapa nchini!
Jamani hiyo taarifa imekaaje kwa nyie mnaojua tujulishane. Pia naombeni tujiepushe matusi kwenye...
Kiukweli pwani inayo maeneo makukwa mengi hayana maendeleo yoyote na pia yana hali mbaya ya misitu, sasa watu kama wamevamia eneo na halijapimwa halina hati miliki basi wajilaumu wenyewe wizara na serikali, wizara ya uvuvi na mifugo mnamilikije eneo lisilokuwa na hati miliki? Na je wakazi...
Ok maana ya double glass ni kwamba dirisha linakua na vioo 2 vimeunganishwa kwa pande zote mbili kati kati ndio unakuta kuna na maua, single ni kioo kimoja tu mara nyingi kioo kimoja huwa akina maua. Hivyo basi dirisha likishakua na vioo viwili tayari gharama hio tofauti na kioo kimoja
Habarini, wanaohitaji aluminium and upvc madirisha, milango hata profile dar es salaam na nchi nzima kwa bei rafiki kama
1. Upvc kwa (m²) yaani square meter 170,000/=
2. Aluminium kwa (m²) square meter ya single glass 120,000/=
3. Aluminium kwa (m²) square meter ya double glass 150,000/=
4...
Hata kama hajasoma huyo huyo ndo chaguo la wengi 👏👏👏👏👏👏✌✌✌✌✌✌✌✌
Mbana watu hawa iitikia hii au ndo hawataki kusikia maswala ya ccm mi napita tu hahah 👏👏👏👏✌✌✌✌✌
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.