Wabongo bado ni wabishi, hawasikii. Eneo lishaonesha kuwa na madhara. Wao wanapita tu, hivi hapo gari ikisombwa na maji watailamu serikali.
Siku zote nasemaga madereva wengi sahvi ni viherehere tu. Usalama wowote unaanzia kwake.
Ova
Mshana Jr
FRANCIS DA DON
Extrovert
MamaSamia2025
Kuna video nimetumiwa inaonesha dada yuko TRA kafunga ndoa na mpenzi wake ambaye ni mlemavu
Aise huyu dada Ana moyo wa kipeke kabisa kumbe mapenzi ya kweli bado yapo?
Ova
Miss Natafuta
Victoire
Sky Eclat
Bushmamy
Nifah
asilimia kuɓwa ya wanaondesha magari akili zao haziko sawa na inawezekana kuna machizi.
Ndomana ajali nyingi zinatokea,ushauri tu inabidi mamlaka husika wanaotoa leseni wawe wana wapima akili pia madereva au wanaotaka leseni za udereva.
Watumiaji vyombo vya moto waendawazimu ni wengi sana...
Aliyeliweka hilo lidude juu hapo
Aise,wamechemsha maana linaleta
Show mbaya sana hapo darajani
Maana wakati wanaliweka mbwembwe zilikuwa nyingi sana
Mwisho kituko
Ova
Nyota huyo mkongwe wa Muziki wa Rock’n’Roll amefariki akiwa na umri wa miaka 83 baada ya kuugua kwa muda mrefu.
Kwa mujibu wa familia, Turner alianza kuwa na hali mbaya ya Kiafya baada ya kugundulika kuwa na Saratani ya Utumbo mwaka 2016 na kupandikizwa Figo mwaka 2017.
Enzi za uhai wake...
Wabongo kwa ujumla ni wabishi sana
We ushaambiwa msipite hapo maana
Kuna maji,watu na magari yao wanapita tu kiubishi,na kujifanya wanajua ona sasa huyo mwenye noah
Kachukuliwa na maji ndani ya gari yuko na watoto na wote wamepoteza
Uhai
Wabongo hebu tupunguze ujuaji na tujali uhai wetu na
hivi kama mzazi yaani baba, mama au kaka, ndugu kwa kuona tukio la huyu mtoto utajisiaje?
Any way naona binti ana kachura fulani.
Ova
Mshana Jr
cocastic
King Kong III
Nakadori
anasbo
Ukiangalia hii video iliyochukuliwa na cctv camera,inaonesha panya road wanakatisha mtaa wakiwa na mapanga na ni usiku mnene!
Najiuliza tu ina maana maeneo hayo hakuna ulinzi shirikishi. Pata picha sasa ndiyo mtu anarudi kutoka kwenye mitungi au kwenye mihangaiko yako unakutana na hilo convoy...
Hii ajali imetokea na maeneo yanaonekana kama Tanzanite Bridge.
Video inaonesha magari yameparamiana.
Hii video nimetumiwa tu, mwenye kufahamu chanzo ya ajali hapo atueleze.
Ova
RRONDO
Hii ni starehe au mateso sasa... Ila nawasifu hawa miamba kwa.. Kupaki gari njiani na kuvuta usingizi.
Maana wangesema waendeshe gari kibishi,lazima wangeingia mtaroni au
Kupigwa mzinga.
Ila salute kwa tungi walilopiga si la kitoto
Ova
RRONDO
Mshana Jr
Shunie
cocastic
Nikiwa bado niko huku Ruangwa, masela wangu wametoa kitu safi. Mambo haya kama wewe ni brazamen huyawezi!
Wengine sisi tunaishi kokote.
MamaSamia2025
Bushmamy
Ova
Huwa sielewagi kwanini masoko ya kuuza vitu vya mahitaji ya vyakula Ikibadilishwa muonekano, kisasa
Kuwekwa vioo, vizimba vya kisasa Wafanyabiashara huwa wanaondoka. Na licha ya soko kuwa na muonekano
Mzuri, linapwaya.
Watu huwa wanasema mambo sokoni. Usiweweke floor chini nk. Wengine wanasema...
Tukisema asilimia kubwa ya watanzania,ni wajima ,hawajielewi bado kuna watu watabisha.
Hivi tabia ya kupakiwa kwenye mabasi.
Na kukaa kama mangombe na utakuta mtu anaona sawa tu.
Ndomana kuna mwamba humu JF Countrywide Ana kauli yake moja utamsikia anasema "hamna akili"
Ova
Niaje kwa wazee, Niko kwenye mataa ya moroco Nimepanda kwenye daladala
Daladala nyingi za mjini wengine sisi Ni mastuff...nmekaa na dereva Dakika za kutosha tunasubiria msafara upite,
Kuna abiria kaniacha hoi anakuambia kiongozi huyo anaye subiriwa itakuwa ndy kwanza anapiga chai au ananyoosha...
Habari zenu bandugu
Leo nlitokea bestbite nkasema nipitie
Barabara ya kutokea bakwata lami mpya
Kufika nkasema nchepuke nipitie ufipa
Mara nakutana na mavivusi
Kutokana na uzawa&legend wangu kinondoni nkasema ngoja nisimame
Nipige toli na wadau
Kwenye maongez naambiwa kifusi tangu kimwagwe...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.