Search results

  1. G

    Kampuni ya NICOL imekufa?

    Kuna taarifa za kufutwa kwa kampuni ya Nicol Tanzania Kwenye list ya makampuni ya Tanzania huku kukiwa na idadi kubwa ya wamiliki wa kampuni ya Nicol hawajui kinachoendelea
  2. G

    Nani anauza hisa za nicol?

    Nani anauza hisa za nicol na anauza shs ngapi?
  3. G

    Mauzo ya majengo ya serikali Dar

    Kutokana na serikali kutaka kuuza majengo yake, wataalamu wa uthamini wanakisia majengo ya serikali pamoja na maeneo yake yaliyopo Posta na katikati ya jiji yanafikia thamani ya tshs tril 70. Je, kiuchumi unadhani serikali ikiyauza ilipe deni la taifa la trilioni 50, itumie kujenga mji mpya wa...
  4. G

    Kushuka kwa bei ya vyakula ni faida au hasara?

    Kila kona ya nchi bei ya vyakula imeshuka... Je kwa taifa na wananchi ni faida au hasara?
  5. G

    Uchumi wa Tanzania na Taarifa za IMF na WB

    Hivi mashirika ya kimataifa kama world bank na IMF yanatoa wapi takwimu za ukuaji wa Tanzania? Mbona taarifa zao wanazitoa mapema kabla ya taifa kuzitoa ?
  6. G

    Nanunua hisa za Nicol kwa shs 120@

    Nimeamua kuwapunguzia machungu wanahisa wa nicol kwa kuanza kununua hisa zao kwa shs 120 kwani ndani ya mwaka huu kunauwezekano wa kampuni kufa kabisa
  7. G

    Nanunua hisa za Nicol kwa shs 120@

    Nimeamua kuwapunguzia machungu wanahisa wa nicol kwa kuanza kununua hisa zao kwa shs 120 kwani ndani ya mwaka huu kunauwezekano wa kampuni kufa kabisa
  8. G

    stendi ya mabasi ya mikoani ubungo watumishi wezi

    kuna tabia ya watumishi wa standi ya ubungo kutoza magari yanayoingia humo shs elfu tatu mpaka tano na kulazimisha kutoa stakabadhi ya shs mia tano bila kuonyesha waraka unaowapa kibali cha kufanya hivyo wakiulizwa wanasema wametumwa na mkubwa wao cha kushangaza ata mapolisi wa ubungo wamejiunga...
  9. G

    Gazeti la Mwananchi na hongo toka Mgodi wa Barrick

    Gazeti la mwananchi limekubali kuwa miongoni mwa magazeti yaliyokubali kufumba mdomo kwa ajili ya kupata nafasi ya kupewa matangazo ya baric kila wakati. Unajiuliza tangazo la kazi la mgodi huu linalotolewa kila siku kwa takribani miaka miwili sasa na linalochokua kurasa tatu na zaidi ni...
  10. G

    bil 119 kwa sensa wakati zoezi la vitambulisho vitatolewa?

    zoezi la sensa linalotakiwa kufanyika hivi karibuni ni sehemu ya ukosefu wa mipango thabiti, kwani tungeweza kulijumuisha zoezi la sensa ndani ya zoezi la utoaji wa vitambulisho na kuokoa zaidi ya bil 119, kama ukiweza kutoa vitambulisho kwa taifa zima , je si ni sawa na kuendesha sensa pia...
  11. G

    JK vunja baraza Zima la mawaziri si kufukuza mawaziri 8 tu

    Nadhani kila mmoja ameona mapungufu ya ujumla ya baraza la mawaziri, hivyo kitendo cha Wabunge kutaka mawaziri 8 tu kujiuzulu si cha maana kwa mazingira ya sasa. kama jk anataka mabadiliko ya kiutendaji wa baraza la mawaziri basi hana budi kuvunja baraza lote la mawaziri na kuunda tena na si...
  12. G

    Fidia inakuwaje kwenye miche midogo na miti mikubwa ya michikichi

    hivi kwenye shamba la michikichi kuna utaratibu gani wa malipo ya fidia kwenye mazao yaliyokuwa shambani. nina shamba la michikichi ambalo serikali wamekuja kupima viwanja lakini kuna michikichi ya kimo mbali mbali kuanzia michanga mpaka iliyozeeka sasa sijui ni namna gani ya fidia kulingana na...
  13. G

    Technician in civil anahitajika haraka

    Technician anahitajika in civil engineering, Tuma CV na refferee mmoja Register Engineer ambatanisha na namba yake ya registration Apply to HR Mchubanga enterprises Box 71997 Dar es salaam gdwnchch@gmail.com
  14. G

    Kuimarika kwa shillingi ya Tanzania sifa apewe Mkulo rais au wafanyabiashara?

    nadhani wote tumeona mwenendo wa kuimarika kwa shillingi ya tanzania swali langu la msingi nani apewe heshima ya tukio hili...mkullo, rais au wafanyabiashara?
  15. G

    Wakati Chadema wanaendesha siasa CCM wanapanga mipango na tume ya uchaguzi Arumeru

    Harakati za viongozi wa CCM katika ofisi kuu za tume ya uchaguzi zinaanza kututia shaka kwani katika kipindi kifupi tu watu wameshuhudia Nape na mwigulu mchemba wakipita katika ofisi za tume ya uchaguzi. Nini kinaendelea katika harakati za Arumeru kati ya Chadema na CCM?.
  16. G

    Pendekezo: Rais Kikwete mteue Dr. Slaa kuwa mwenyekiti wa Tume ya kutunga katiba

    Katika mwenendo wa utungaji wa katiba nadhani kuweka imani ya watanzania waliopoteza juu ya umakini wa mchakato wa Kutunga katiba mpya namshauri Jk kumchagua Dr. slaa kuwa mwenyekiti wa tume ya kutunga katiba mpya. SOURCE:Godwine
  17. G

    Wanasiasa wameshindwa na wamechoka kuiongoza Tanzania,ni zamu ya wengine sasa

    Taifa limepoteza uelekea,limekufa kiuchumi,kitamaduni na kisiasa pia , wanasiasa wanatawala kila sehemu bila ya kujali ni za kitaaluma na si za kisiasa.Siasa imeleta utumwa na kusababisha wizi wa rasilimali za taifa unaofanywa na wageni, siasa imefanya watanzania kuwa watumwa katika taifa lao...
  18. G

    Rostam ajipanga kuikimbia Tanzania; kutimkia Malaysia

    Rostam Aziz ameziandikia bank za CRDB na NMB ya kutaka kufunga account zake na kutaka kuhamisha fedha hizo katika nchi ya Malaysia, tukio hili lilifanya mameneja wa bank hizo kuomba muda wa kupitia na uhamuzi huo kabla ya kuruhusu kufungwa kwa akaunt hizo, kwani kutokana na kiasi kilichomo ndani...
  19. G

    Sifa gani za kufungua voda shop au kuwa super dealer?

    kwa yeyote anayejua sifa za kupata uwakala wa vodashop na superdealer yaani watu wanaouza mpesa wawe wananunua balance kwako kwa jumla hili waende kuuza kwa wateja wa rejareja
  20. G

    kama CCM wasipoiangusha Chadema sasa basi watapoteza urais 2015.

    Ni kitu cha ajabu kwa serikali ya CCM kushindwa kuiteketeza chadema inayoelekea kuchukua nchi 2015 mbali kuwa na taasisi zote za mashambulizi. kitu ninachokiona watumishi wa serikali na wanachama wengi wa CCM wameasi chama chao na kungojea tu kushuhudia kudodonga na kufa kwake 2015. Kwa mwendo...
Back
Top Bottom