Kweli nimeamini watanzania mazezeta yaani m'metolewakwenye mada harisi tena ya msingi ktk mustakabari mzima wataifa.juu yakatiba na kupelekwa kusikojulikana ili watu wachaaache wafanye vitu vyao.mkishastuka mambo yamekwisha. Na kubaki mkilalamika tu. Bila kujuwa nn cha kufanya acheni hizo rudini...
Akuna usawa ccm mmezoea fitna, dhurma,ubinafsi,na kueneza chuki kwa wana nchi. Tumechoka na tabia zenu. 2015ni mwaka wa kuizika ccm. baada ya kupata ajari mbaya sana itakayosababisha kifo chake.
nashukuru kwa kunijuza ok muda simlefu nitarudi shule. na hataninyi co vyote kuwa mnavijua kuna vingi tu hamvijui. kuhusu email. nilishakuwa nayo lakini kwa bahati mbaya ilifungiwa.napia elimu ni bahari mimi na ninyi wote tunajifunza usilolijuwa ww mm nalijuwa.na nisilolijuwa mm ww unalijuwa...
Natafuta rafiki mme aumke wa kuchat nae mdawowote.kuchangia mawazo,kujadiri mada mbalimbali zihusuzo maisha. karibuni sana marafiki zangu. ukalimu kwetu ni asiri yetu. idumu africa idumu tanzania.
Natafuta marafiki www.kaisisaidi9@gmail,com.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.