Wabongo mna kazi kweli. Yaani mlichoona kwa mwanamke wa kwanza muafrika kupata tuzo za Oscar ni umbo lake na nguo aliyovaa???? Watanzania punguzeni basi hata huu upumbavu wa kijinga mbaki na ule ambao ni mgumu kuuondoa kwenye akili zenu. Mwenzenu ame-inspire the WHOLE universe nyie mnabaki...
I dont get it!! Wanasema yuko Muhimbili anatibiwa majeraha na wao polisi wanafanya uchunguzi huo, uchunguzi gani sasa???? Si waende wakamkamate? Au hawaruhusiwi kuingia Muhimbili?
Jamani, acheni kulalamika ovyo. Katika hospitali zote za rufaa Tanzania, KCMC ndio hospitali pekee ambayo ilikuwa inacharge gharama ndogo. Matokeo yake wagonjwa wote wenye uwezo na wasio na uwezo wanaenda KCMC na hospitali inajikuta inahudumia wagonjwa wengi kuliko uwezo wake. Kwa nini serikali...
Unampiga ni ngoma hiyo??? Na ni nani kakupa mamlaka ya kumpiga mtu mzima, kisa ni mkeo? Hakuna sababu yoyote chini ya jua inayoweza kukufanya umpige mke wako. Unadhani kama ni mkorofi wakati hujamuoa atakuja kuacha wakati umemuoa???? Hii ndio maana mnaambiwa, acheni kukurupuka tu na kuoa...
Afadhali hata ungeongea kuliko kuandika chini kabisa!!!! Hii ni statement mbaya sana kwa binadamu wa aina yoyote kuandika. Huyo mwanamke si umekutana naye akiwa na meno yake 32 mdomoni, mkajidai mnapendana na kufunga ndoa haraka haraka bila kuchunguzana??? Sasa kinachokufanya umseme mama yako...
Ni kwa saabu ya uoga na hajiamini. Anahisi ataenda the maisha yatmshinda wakati kila kitu inawezekana chini ya jua kama ukiweka akili yako yote hapo. Ndio mwanzo utakuwa ni mgumu sana, tena sana lakini at some point ataweza.
I dont agree with you at all. Na hii ni mentality ambayo wanawake wengi wa kiTZ wanayo na inawamaliza kisaikolojia maana wamejikuta waking'ang'ania mwanaume anayewanyanyasa kupita maelezo katika ndoa kisa wanaogopa watakayoyakuta huko nje. Kamwe katika maisha usitegemee furaha kutoka kwa...
Sasa boss unadhani waki-conclude haraka hivyo kuwa ni hujuma za udini na kwa kwamba waislamu wanahusika na shambulio hilo nini kitatokea? Shambulio limetokea juzi, watu hata hawajazikwa wewe uropoke tu kuwa ni waislamu hiyo vita yake utaiweza?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.