CHADEMA inatekeleza agenda ya maendeldo ya watu kwa vitendo na ndiyo maana viongozi wake wanaojua kujiajiri mfano Joseph Mbilinyi Sugu , Meya Boniface, Freeman Mbowe, Mungai, Peter Msigwa na wengine wengi wanafaa kuongoza nchi katika kuanzia udiwani hadi uongozi wa juu nchini ili maendeleo ya...
Christine Gideon Mwakatobe academic background includes a Bachelor's degree in economics from Augustana University in Canada and a Master's degree in Business (MBA) from the Bussiness School of Netherlands.
Kila kitu sasa hivi Tanzania ni mali ya rais, ikiwemo gazeti hili la kila siku la serikali.
KUTOKA MAKTABA :
Mhariri mkuu wa Daily News :
The Guardian
https://www.theguardian.com › oct
Julius Nyerere
17 Oct 1999 — ... Tanzania, he was also editor-in-chief of the state newspaper, the...
Trapped in Oman - BBC Africa Eye documentary
https://m.youtube.com/watch?v=fJTh4Gdn_B8
Wakipewa ahadi kemkem kuwa ajira za ndani nchini Oman zitabadilisha maisha yao, lakini mara wakifika huko hupokonywa hati zao za kusafiria na mikataba.
Baada ya hapo hufanyishwa kazi masaa mengi, kufanyiwa...
17 March 2024
Katika mahojiano ya CDF mstaafu, Critical thinker anapitia majibu ya mkuu wa majeshi mstaafu general (rtd) Venance Mabeyo ambayo yameibua mengine ambayo wananchi walifichwa, lakini pia zaidi yameibua mengine ambayo hakujibu
https://m.youtube.com/watch?v=I-urvkCKP6M
Nitajaribu kuweka ktk lugha yetu hii adhimu ya KiSwahili ingawa kuna changamoto haina maneno sahihi, nanukuu baadhi " diplomatic maneuvers have ignited a storm of controversy and apprehension profound ... maelstrom is the contentious 1700-word opus, a fusion of article and advisory, shared...
Tunapoteza sana maji, utasikia miaka miwili baadaye kuna ukame bonde la Rufiji maji yote yamekwenda baharini.
Ilitakiwa kuwepo mpango kuyavuna maji haya kwa kutumia bwawa la pili .
Maktaba :
2022 17 November
MTO RUAHA MKUU / GREAT RUAHA UKAME WALETA UPUNGUFU WA MAJI TISHIO KWA MRADI WA...
Tukiambiwa kuna umuhimu wa serikali kukazia umahiri kwa waalimu wa somo la lugha ya kigeni ya Kiingereza ngazi ya vidudu, msingi hadi sekondari O na A level ili tuende sawa maeneo mbalimbali ikiwemo diplomasia na masuala mengine mengi ajira, uwekezaji n.k watu wanasema hakuna umuhimu wa lugha ya...
Pia serikali impe uhuru na rasilimali muhimu za aina zote kama fedha, kuajiri watu wapya ili CEO Waziri Kindamba afanye kazi kuleta mambo mapya na utendaji mpya kufuata na uzoefu wa aliyoyaona katika dunia nje ya Tanzania.
Andiko la Mussa Lugete kuhusu uwakilishi wa balozi mtarajiwa wa Rwanda nchini Tanzania laenda kimataifa na kunukuliwa katika mtandao tajwa :
Controversy Swirls as General Nyamvumba Nominated as Rwanda’s Ambassador to Tanzania.
March 16, 2024
By Adonis Byemelwa
General Patrick Nyamvumba...
MKOA wa Ruvuma unaoongoza kwa udumavu
Tarehe Ya Kuwekwa: May 16th, 2019
MKOA wa Ruvuma ni miongoni mwa mikoa mitano nchini inayoongoza kwa udumavu. Mkuu wa Wiaya ya Songea ndugu Pololet Mgema ameongoza kikao cha Kamati ya Lishe katika Manispaa ya Songea ambacho kimezungumzia changamoto...
Ndiyo maana kuna asilimia kubwa ya watanzania wanaudumavu ulioanzia utotoni kwa kujaza matumbo yetu kwa chakula kililichojaa wanga bila virutubisho vingine muhimu kwa makuzi.
Taarifa ya Lishe ya Tanzania
Kulingana na Utafiti wa Idadi ya Watu na Afya ya mwaka 2015-2016, takriban theluthi ya...
TOKA MAKTABA
Tanzania Tourist Board Appoints Damasi Mfugale As New MD
February 8, 2023 in APTA News
The Tanzania Tourist Board has appointed a new MD who is expected to continue the growth trajectory of the country’s tourism sector.
Damasi Mfugale, who was formerly the head of the...
Miezi sita anatenguliwa, nani atachukua nafasi hiyo kutoka kwa Richard Rwanyakaato Kiiza aliyekuwa kamishna Ngorongoro Conservation Area Authority (NCCA)
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ametengua uteuzi wa kamishna wa Hifadhi ya Ngorongoro (NCCA):
15 March 2024
Zanzibar
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan ametengua uteuzi wa Bw. Richard Rwanyakaato Kiiza, aliyekuwa Kamishna...
Upo sahihi hata kabla ya mradi wa bwawa la JNHPP mafuriko yamekuwa yapo eneo hilo la Rufiji, Ikwiriri n.k
Maji haya yalitakiwa yavunwe kutumika kwa umwajiliaji na matumizi ya kijamii mijini pia vijijini. Wameshindwa kutafuta namna kujenga bwawa la ziada pembeni kilometa kadhaa kutoka bwawa la...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.