Habakuki 2
15 Ole wake yeye ampaye jirani yake kileo, wewe utiaye sumu yako, na kumlevya pia, ili kuutazama uchi wao!
Sidhani kama divai uliyonukuu ilikuwa na kileo. Kumbuka kuwa divai ya Yesu ilikuwa ya awamu ya pili baada ya ile ya kwanza kuisha.
Wadau, salaam! Ninauza kisimbuzi cha Startimes kile walichoingiza sokoni kwa mara ya kwanza wakati wa Kombe la Dunia South Africa mwaka 2008. Mtakumbuka wakati ule walituuzia shilingi 70,000/- .
Bei ninayouza ni Tsh 40,000/- tu. Kisimbuzi kinafanya kazi na hakijawahi kufunguliwa wala kufanyiwa...
Changanyikeni Kisiwani njia ya kwenda Kanisa la AICT umeme haupo tangu jana usiku. Walituambia mafundi wanashughulikia lakini uliporufu ni nyumba chache tu ndio walipata umeme.
Leo saa 5 asubuhi ulirejea lakini ilipofika saa 9 alasiri ulikatika tena hadi sasa haujarejea.
Ibrahimu
0787377511
Nyumba ya vyumba 3 self contained inapangishwa Kisota-Kigamboni barabaraya Damian do Amsi.
Nyumba imeungana na nyingine 3 ambazo zinatumia geti moja, kila moja ina mita yake ya luku ila maji mna-share (mita moja nyumba mbili).
Ina master bedroom na vyumba viwili vya kulala, jiko, dinning na...
Hii hospitali wanatibiwa wafanyakazi wa Usalama wa Taifa na hata familia zao, ni kama hospitali nyinginezo za majeshi, tofauti ni kuwa miaka michache iliyopoita wamejenga wodi ya VIP ambayo Mkapa na Sita walifia hapo.
Na hili wanapaswa kulifanyia kazi mapema iwezekanavyo, Samia, atangaze kuongeza siku za maombolezo vinginevyo Watanzania watanza kuhoji uwezo wake wa ku-react inapotokea maswala ya kufanyia kazi kwa haraka kama haya.
Ugonjwa mpya ulioingia na ambao kwa bahati mbaya hata wasomi wanauamini ni kuwa kila kifo kinachotokea sasa ni COVID19, kana kwamba magonjwa mengine hayapo, kana kwamba mwanadamu hatakufa kama hakuna magonjwa.
Vv
Kiwanja kizuri kinauzwa Mwongozo, Kigamboni karibu na nyumba za NSSF na NHC.
PLOT DETAILS
Plot no: 336, kinayo hati ya miaka 99 (attached)
Location: Mwongozo, Kigamboni; Karibu na nymba za NSSF na NHC; Kiwanja kimezungukwa na barabara pande zote, kinafaa kwa matumizi ya biashara kama ujenzi...
Umeuliza swali nililojiuliza nikaishia kuona aibu mwenyewe. Ukweli ni kuwa Morocco ni 'masikini' tu kama sisi ila wamefanikiwa kutumia vizuri raslimali zao. Uchumi wa Morocco unategemea utalii kwa kiasi kikubwa, hawana mafuta kama wenzao wengine wa kaskazini mwa Afrika.
Sent using Jamii Forums...
Nyumba ya vyumba 3, yenye master bedroom 1, choo cha ndani, dinning, sitting na jiko. Kila chumba kina kabati la nguo.
Inapangishwa Kisota, Kigamboni, kilometa 8 kutoka Feri ( kilometa 6 Feri-Maweni, Kilometa 2 Maweni-Kisota), ina umeme (Luku) na maji. Pia kuna water reserve tank.
Imo ndani...
Hata Maili mbili au Msalato unaweza kupata. Unaweza kuweka morgage shamba la Nala? Ok ukianza utaratibu wa kupima hadi kupata hati, ekari moja ya huko Nala itakugharimu kiasi gani? Ukiweka kitega uchumi kama shopping malls au supermarket, wanakijiji wa Nala ndio watakuwa wanunuzi wako wakuu...
Hata Maili mbili au Msalato unaweza kupata. Unaweza kuweka morgage shamba la Nala? Ok ukianza utaratibu wa kupima hadi kupata hati, ekari moja ya huko Nala itakugharimu kiasi gani? Ukiweka kitega uchumi kama shopping malls au supermarket, wanakijiji wa Nala ndio watakuwa wanunuzi wako wakuu?
Hizo factors ndizo zinazo-dermine bei ya soko hapo Iyumbu, ,kuwa karibu na UDom ni factor nyingine, barabara ya kutoka Dar inachepukishwa kule.
Plot iko opposite na NHC Iyumbu estate, mmiliki atatumia barabara inayoingia NHC Iyumbu estate, maji atachukua bomba linaloingia NHC na hata umeme...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.