Kila mtu atasema lake ila jini la majanga yote ni katiba. Katiba ndio chanzo cha haya na mara zote naikumbuka kauli ya Mh Kikwete wakati Fulani bungeni kwenye muswaada wakupunguza madaraka ya Rais ambao CCM walikataa fanya mabadiliko ila JK kwa ungwana Wake akawaambia "Mimi kama Rais sijaaamua...
1 Israelites=1000 Palestine 😭😭😭 hii ni toka miaka na miaka maelfu ndio maana haya Mazayuni sio yakuchukua poa ukiwagusa.. kiukweli mpaka vita ikwishe Palestine watakufa wengi sana nihuzuni na kilio kila nyumba.😭😭😭
Mungu akulinde Jamhuri yangu na watu wangu wa Tanzania.
Mungu Tukumbuke watoto wako na Uzao wa Taifa lako siku moja tusije kuwa manamba ktk Taifa letu. Baba yetu na Rais wetu wa kwanza aliona leo na akalia sana na kumbukizi zinatuambia akikaribia kuipumzisha roho yake akasema Anatuombe wa...
Vita ya Israel na Hamas urban war nivita ngumu sana kiasi Dunia imesimama kuona muujiza. Iran wanamtamani kiasi risasi moja tu Irani na komoney wao watakuwa mavumbi. Hezbollah ameambiwa aangalie picha za satellite 📡 some kitu Mazayuni wamewafanyia Hamas kisha atafakari kile kitamkuta...🇮🇱🇮🇱🇮🇱🇮🇱...
Kuna mambo ni magumu kujadili kama huna Imani ya Kiroho. Kama unauwezo wahudumie Wazazi wako kama huna muonbe Mungu akusaidie. Ipo nguvu kuwatumia Wazazi matumizi na pia ipo nguvu kwa mtoto anajuwa kumshika mkono mzazi wake. Bilget ni Tajiri mkubwa ila hawezi kataa akipelekewa Zawadi na mtoto...
Serikali kupitia wizara ya afya Tunaomba mfanye ukaguzi kwenye mabasi ya usafirishaji wa abiria hasa safari ndefu jamani mabasi yana kunguni na mende wadogo wengi jambo lina hatarisha afya ya abiria.
Siku zakaribuni nikiwa na abiria wenzangu tulishuhudia utitiri wa kunguni kwenye basi la...
Mwambie ache ushamba akajifunze kwa Rais wa France Macron alipendwa na mwalimu wake akiwa hana kitu leo Rais kama anawapenda awachukue hawataki apotezee asitusumbue hatukumwambia ajipost
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.