IUmeeleza vema ila huku tunataka tuhamie kenya maana watu wanashikwa kwa lazima hata huku mtaani halafu tunaambiwa hata kama hutaki watakuja kutushika manyumbani na wakikupeleka wanakumwagia maji mavhafu na matope vijana wametoka huko full matooe hii imewafanya wengi kutorikea kenya hii hali...
Hi wadau!
Naomba kueleweshwa kwa wadau kuhusu hii kitu inaitwa mgambo. Je umri wa kujiunga ni kuanzia miaka mingapi?
Na je mtu ambaye hapaswi kujiunga anatakiwa awe na miaka mingapi? Pia je kama mtu ana matatizo kama maginjwa ya akili na magonjwa kama kifua figo na ini anaruhusiwa?
Mwisho...
Inategemea ni kingambuzi gani iko ndani ya tv yako. Kwamelezo yako ni ya antena ambayo tv nyingi siku hizi tv nyingi zinazo angalia kama ina ya satelite ndio unaweza pata channel nyingi
Sent from my Redmi Note 5 using JamiiForums mobile app
Tatizo sio dicoda eleza unataka channel zipi na umtafute fundi akufungie juu ukitumia kwa dstv,azam au startime packeg lazima ziwe scrambo. Pia elewa dicoda nyingi kama hizo ni kwa ajili ya Fta kwa hio hutumiaka kwa feed hivo lazima uwe na dish kuanzia ft 8 kwenda mbele ndo utainjoi la sivo...
Kesi yake iliyomfunga yule Gaidi wa Magu ilikuwa nini vike? Maana kama ni kubaka itakuwa amekuabza wewe kukubaka hio akili mbovu ndo maana unahalalisha matendo hayo
Sent from my Redmi Note 5 using JamiiForums mobile app
Punyeto mbona rahisi kuacha tafuta mademu ika nao visirani unaweza ukasema bora punyeto maana Kaswende,kisonono na Ngoma hupati wala hutakuwa na wasi nazo japo nayo no dhambi balaa. Kubeti hata ukiomba huachi labda uamue tu kuacha naachaga hata mwezi ila baadae narudia kidogo ila naona ushindi...
Sasa kama mwanamke amechoka we mwanaume inakuhusu nini gegeda mpaka urizike mwanaume nsio mbaya maana ikilala imelala sasa hilo shimo nalo linakuchoka zaidi ya wewe kudumbukia kama utakavyo acha ufala bakana uwezavyo hadi apige nduru mzibe mdomo hadi urizike nyau wewe.
Dini nini? Ni kuwapa pole wagonjwa,kusaidia maskini,Kuwajali yatima na wajane kuwapenda jirani zako kama nafsi yako hii ndio dini Safi. MUNGU NI NANI? MUNGU NI ROHO NA WAMWABUDUO YAPASA WAABUDU KATIKA Roho na kweli. Roho ni nini Roho ni Dhamiri na nia. Kuna dhamiri ngapi? Ziko mbili dhamiri safi...
Kawaida Hizo dicoda zinatumia minara boss hivo igeuze geuze antena yako huku ukiangalia signal hio ni tofati na dish ambayo inarumia satelite. Minara kama ikikwepana na hatena huwezipata signal
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.