Search results

  1. EMT

    Kabudi: Tanzania imeweka historia, ndio nchi ya kwanza Afrika kusaini mkataba wa hisa isiyofifishwa

    Itakuwaje kama mmiliki wa leseni ni sole proprietor or a company limited by guarantee? Becase the issuance of shares would be non-existent. It is also my understanding that investors/limited companies must earn back their capital plus any preferred return before the Governmeny can earn...
  2. EMT

    Hoyce Temu na Wabaguzi Mamboleo!

    Hata ukubwani anadaiwa kufanya mambo ya ajabu alipokuwa ameajiriwa kabla ya kuteuliwa kuwa balozi. Nimesoma hukumu ya tribunal ya Umoja wa Mataifa ya Disemba 2022 alikokata rufaa baada ya kufukuzwa kazi UNDP; inaonekana alikuwa anafanya kazi kibongo bongo vile kama vile kaajiriwa na serikali ya...
  3. EMT

    Umewahi fanya mapenzi na mtu ambaye hukumdhania?

    I hope the car you drive is brand new. Chupa za bia na soda na glasi tunazotumia kunywea are all overused. Daladala tunazopanda ni overused. Nyumba tunazopanga ni overused. Kama una mke au ukioa na kuishi na mkeo for a couple of years she will be overused as well tena by you. Hopefully...
  4. EMT

    Serikali iache kutujazia tozo kufidia matanuzi yao

    Watanzania hawataki kulipa kodi.
  5. EMT

    Makonda hajashinda kesi, bali Mahakama ya Kinondoni haina uwezo kusikiliza kesi hiyo

    Kwani aliyefungua kesi kapata alichotarajia?
  6. EMT

    Makonda hajashinda kesi, bali Mahakama ya Kinondoni haina uwezo kusikiliza kesi hiyo

    Ilikuwa kesi ya kijinga sana. Ndio maana hata mshitakiwa hakuhangaika nayo. Kashinda kesi bila kujitokeza mahakamani.
  7. EMT

    GERRARD vs SCHOLES vs LAMPARD, yupi ni 1, 2 na 3?

    Kati ya hao watatu ni Scholes all the way. Alicheza wakati Man Utd walikuwa na masuper stars lakini alishine except mechi moja dhidi ya Derby City - he was absolutely terrible, Furguson akamtoa mapema. Nimekuja kujua wiki chache zilizopita kuwa alikuwa na tatizo la kifamilia siku ya mechi. Ndiyo...
  8. EMT

    Tetesi: Standard Chartered Bank kufunga operation zake Tanzania

    Kweli there are all sort of reasons, including the impact of Covid-19 and the regulatory framework. The markets being cut in Africa generated just 1% of total income in 2021 and a similar proportion of profit before tax. Not worth it for investing. Standard Chartered is just following other...
  9. EMT

    Rais Samia amegeuza upepo wa MSD kwa kumteua Mavere Tukai

    Mkuu hebu fanya kutupia ID zao hapa niwatafutie viroba.
  10. EMT

    Katiba inaonesha Rais akiwa nje ya nchi majukumu yanabaki kwa Makamu. Kwanini Rais anatoa 'press' akiwa nje?

    Over years ofisi makamu wa rais has done little at all. Some have served as surrogates wakati rais akiwa nje ya nchi. In practice, makamu wa rais na ofisi yake is merely the spillover of unwanted or extra presidential responsibilities kama kukata tepe, nk na ku-balance power between Tanzania...
  11. EMT

    Rais Samia amegeuza upepo wa MSD kwa kumteua Mavere Tukai

    Hata wafanyakazi wa kawaida wanapata hizo benefits. Maybe hujafanya kazi kwenye mashirika ya kimataifa.
  12. EMT

    Yaani kumzuia tu mke wangu kwenda Moshi nimezua ugomvi!

    Huyo alitaka kukupiga chini baada ya kula hela yako. Labda alikuona hufai kabisa, fala fulani hivi hata hujui mzunguko wa hela unaendaje sasa utakuwa mme wake kwa mfano?[emoji1787]
  13. EMT

    Wenye daladala, bodaboda na migahawa walia baada ya machinga kuondolewa Kariakoo

    Yaani bodobada na wamachinga waporomoshe uchumi? Seriously?
  14. EMT

    Kuanzia Novemba Mosi Bajaji na Bodaboda marufuku kuingia Mjini

    Basi hao wapeleka hesabu wataendelea kuwa maskini. Wamiliki wa bodaboda ambao baadhi yao wana vitega uchimi Nipo kaka. Ova. Tutafutane.
  15. EMT

    Kuhusu bodaboda, Waziri wa Mambo ya Ndani sema neno

    Ilitakiwa serikali ipandishe maradufu kodi ya kuingiza pikipiki nchini ili ziwe chache and bei ghali. Nadharia ya bodaboda kuwa ni mtaji wa maskini ni mbaya sana na inadumaza ubongo wa vijana.
  16. EMT

    Kuhusu bodaboda, Waziri wa Mambo ya Ndani sema neno

    Sidhani kama ni kuchangamkia ajiria bali hakuna namna. Kuongezeka kwake mtaani kunamaanisha kuwa umaskini unaongezeka.
  17. EMT

    Kuanzia Novemba Mosi Bajaji na Bodaboda marufuku kuingia Mjini

    Usafiri wa bodaboda unatakiwa upigwe marufuku jijini Dar. Huwezi kutengeneza usafiri wa mwendo kasi huku ukitegemea usafiri wa pikipiki kwenye sehemu za jiji. Najua bodaboda ni delicate issue, sijui ni usafiri wa maskini n.k lakini linahitaji mtu mwenye balls kutokomeza kabisa usafiri wa...
Back
Top Bottom