Ni wananchi wangapi hawamtaki Bwana Pierre? Mleta uzi kasema waandamanaji wako Bujumbura peke yake, sasa wananchi wa Burundi si zaidi ya Bujumbura, naamini warundi wataamua, kama hawamtaki si wataacha kumchagua, shida iko wapi. Watulizane kwani tumechoka kuhifadhi wakimbizi bwana
Kumbuka kazi mbaya unayo, sasa imeondoka waliofukuzwa wanatamani waifanye hata bila ya mkataba. Wakati mwingine migimo ni mob psychology tu. Sijui kama serikali ndiyo mwajiri wa wale madereva au walitakiwa kuwagomea waajiri wao!!:tonguez::tonguez::tonguez:
Hawa nao wanachosha kwanini wasisubiri mpaka watakapo kuwa tayari kuandiskisha wapiga kura? Kama vipi waunganishe na uchaguzi mkuu Oktoba 2015.
Tumechoka kuahirisha kaura hii ya maoni.
Wana jamvi mlioko Arusha, naombeni msaada wa majina ya hostel au rest house nzuri na zenye bei nafuu hapo Arusha mjini ambazo zinafaa kuishi mgeni wa Kitanzania. Lengo ni kujaribu kupunguza gharama za kuishi hotel za Arusha mjini, jamaa yangu awapo Arusha. Nashukuru sana
Mkuu Gwalo nimependa sana hii analysis yako kuhusu chakula. Ni kweli kuwa wao hutumia chakula kama njia ya kuvuta watu kwenye mikusanyiko na wala siyo kujipongeza. Big up
Bila shaka tarehe 14 Desemba 2014 utampigia kura kama umejiandikisha. Naamini ulikumbuka kulala na 'viatu', vinginevyo uchaguzi wa mwakani waweza kuusikia kwani watu wengi kwenye hicho chama ni wagonjwa.
Naamini Eliza hana rekodi ya kumbaka mmtu yeyote ni uamuzi wa mtu kwenda kwake au kuacha. Na ukiamua kwenda basi kuwa mwangalifu, vinginevyo sioni kosa la Eliza kwa kuwa mkarimu kwa wanaohitaji huduma yake.
Nimeishangaa hii system ya kanisa katoliki kwamba maaskofu wote na maaskofu wasidizi wote wa dunia nzima wana ripoti kwa askofu mkuu wa jimbo la vitican. Sasa nimejua kwa nini papa Mjerumani alijiuzulu, alizidiwa na kazi na alikuwa na haki ya kuzidiwa. Binafsi naamini kuwa Cardinal Pengo ni...
Mzee Warioba na tume yake ya katiba walijua vema kuwa wabunge wetu ni watoro sana, wakaweka kipengere cha kuwajibishwa na wapiga kura. Bahati mbaya wanasiasa wakakitoa kwa ulafi wao, hapa ndiyo ilikuwa fursa mwafaka kuwang'oa watoro, lakini tumefungwa mikono na CCM yao.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.