Duh aisee
Hivi ina maana Mkuu wa Wilaya amekosa kabisa miradi ya kuzinduliwa na boss wake Kinana? Mhhh hapa tatizo lipo sana. Wananchi wa Orkereyan simamenu muhesabiwe na Mwenyekiti wenu #Daudi_Safari
Ktk hili nec wasilete upuuzi.
Nchi yetu lazima iendeshwe kwa misingi ya demokrasia iliyo huru yenye mazingira sawa kwa wadau wote iwe chama tawala au chama pinzani
Hatutaki yaliyotokea 2010 ambapo hadi leo Tume haina hesabu kamili ya matokeo ya urais.
Suala la kujiandikisha na kura ya...
Hivi kweli waziri mkuu ambae badala ya kuwa custodian mzuri wa kusimamia haki na sheria za nchi yeye ndie anavunja mhhhhh
Tumesikia ametangaza kugombea urais kimya kimya! shame on him, mpuuzi kabisa huyu.
Nina imani wananchi wa #migombani segerea hawatakubaki huu upuuzi
Tusimame pamoja na wananchi, kila mtanzania mwenye kupenda haki asimame na wana-segerea apinge hii dhuluma
Mkuu nasikitika sana kwamba umeamua kwa makusudi kutetea uovu na uminyaji wa demokrasia na zaidi kuwaita wapaza sauti eti ni wapuuzi
Kwani tatizo ni wingi wa mitaa na vitongoji ktk nchi au ni uporaji wa sauti ya wananchi? Iweje sehemu CCM wameshinda kusiwe na shida lakini sehemu UKAWA...
duh mkuu Masanilo kwani David Mattaks si ni yule bingwa wa kula watu tigo? amechezea tigo za vijana sana huyu. Sasa kwani nae Pasco anafanya huo mchezo mbaya ktkt jamii?.
Wakuu mimi nauliza tu
Mambo ya ajabu kabisa haya ktk nchi inyodai ni ya demokrasia.
CCM siasa za majukwaa na hoja zimewashinda, mmebaki kutumia ugaidi na vyombi vya dola kuendelea kutawala.
ila hakika nguvu hii hii mnayotumia kutawala kwa mabavu na uonevu, ndio bomu litakalowang'oa na kuwfanya chama cha...
nawashukuru sana Iron Lady pamona na NCHIMI kwa maelezo mujarabu kabisa.
Sasa nimegundua NHIF ndio suluhisho la huduma ya afya nchii hii.
Asanteni nyote
daaaaah! Kanisa la 'miujiza, uponyaji, kufunguliwa na utajirisho'
duh kweli huyu Mungu ana kazi sana: waja wako eeh mungu tupe ufahamu wa kuwatambua hawa matapeli na manabii wa uongo. Roho wako akapate kutuongoza..
Amen
........huu ni upande mmoja wa story. Kuna haja ya upande wa pili waseme neno. Siamini kama hakuna immigration officers hasa wa JNIA walio katika forum hii. Ebu wakuje wajibu au watoe maelezo then tufanye ulinganisho.
Kitu kimoja kinachonipa shaka na hii story ni kwamba the guy is detailed...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.