Habari za muda kama huu wana JF. Kwa uwezo wa Mungu ni imani yangu tuko vizuri.
Kwa leo ningependa kushirikiana na nyie suala ambalo nimekutana nalo usiku wa leo kwenye muda wa saa tatu usiku wakati wa chakula cha usiku. Nimeona kulala mpaka kesho bila kulisema kwakweli nimeshindwa. Habari...
Habari wana JF ni matumaini yangu kuwa ni wazima kwa uwezo wa Mungu. Kwa walio wagonjwa basi Mwenyezi Mungu awafanyie wepesi ili mrudi katika hali ya kawaida.
Leo kuna kitu nimekutana nacho kwakweli nimeshindwa kuelewa kwamba ni uelewa wangu mdogo au inakuaje. Nikiwa nyumbani kapita mzee wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.