Search results

  1. K

    Naibu Waziri Adamu Malima aibiwa kila kitu hotelini Morogoro!

    Mazingira yanaonyesha alikuwa na mpango wa kando, usiku ktk mambo yetu akajifanya mtt na kuanza kunyonya maziwa ya huyo mwenzake, matokeo yake akapitiwa na usingizi mkubwa huku mwenzie akichukua vitu vya Mh ili akamui
  2. K

    Je kwa kosa hili NI SAHIHI KWA MKE KUMUITA MUMEWE MJINGA?

    Mke kumwita mume mjinga ni kosa ila mume alitakiwa ajishushe na amueleweshe mkewe kwa upole na wote waombane msamahaa kwa kuelewana vibaya, kukimbia chumba ni sawa na kukimbia kivuli chake siku zote haifai kukimbia matatizo bali ni kuyakabiliia chumba anazidi kumjengea wasi wasi mkewe na kuhisi...
  3. K

    Idadi ya nondo katika floor ya ghorofa

    Mkuu unafahamu Architect & Structural Eng yeyote unayemjua utupatie contact zake?
  4. K

    Naomba ufafanuzi kuhusu waathirika wa Ma-Bomu Gongo la Mboto na Mbagala

    Wana Jf naomba ufafanuzi kuhusu malipo ya fidia kwa waathirika wa milipuko ya mabomu Mbagala & Gongo la Mboto, katika tukio la Mbagala wengi waliolipwa ni wenye nyumba zilizoathirika, je wapangaji kwanye nyumba mbalimbali zinazoathirika, na wenyewe huwa wanalipwa fidia? Maana nimekuwa nikiona...
  5. K

    Kigoma airport aibu Waha mpoooo??

    Huyo ni mdanganyika halisi, ukitaka kujua kila mmoja anapenda lugha hiyo hebu fungua hiyo attachment usome application letter ya security guard
  6. K

    Kapuya, hii kali...! Ipe maneno picha hii

    Wajameni mbona kama Mhe anataka kumuingizia mkono kwenye sehemu nyeti ya huyo dada ama ndo style ya music wenyewe? Ama amejisahau kuwa yupo Ukumbini?
  7. K

    Siridhiki ila ninampenda

    Nakushauri umuone anayejiita (Dr) Ndodi anaweza kukusaidia maana ajua kuongea bila aibu
  8. K

    Aibu rais kulala hadharani!

    hapo mheshimiwa hajalala ila anafanya swala ya kimya kimya
  9. K

    Tanzania Election 2010 Results as per NEC

    Kaka naomba procedure za kulipia tv afrika
  10. K

    Elections 2010 Mpendazoe alipata kura 56,962 Segerea, asema SLAA

    Suluhu ya yote hayo ni tuwe na Katiba Mpya na Tume Huru, vinginevyo hakuna haki, huenda tunaibiwa haki yetu
  11. K

    Mambo ya Ndoa

    Swali langu, je kuna ubaya au uzuri kuwasiliana na Ex-boyfriend/Ex-girlfriend wako kwa nia njema wakati tayari ukiwa kwenye Ndoa? Toa Maoni yako
  12. K

    Elimu bure Finland!! Vijana changamkeni

    kijana tunashukuru kwa taarifa lakini mbona umetuma taarifa wakati muda umebaki kidogo sana? Mbona hukutujulisha mara walipotangaza 11 JAN? Wengine walio sehemu za mbali kama Kanyigo, Liwale, Mbinga, Mpanda nk c mambo hayo yatawapaitia mbali sana. Wakati mwingine ukipata taarifa nzuri...
  13. K

    Kisa cha Waziri Ngeleja na Mlinzi kwenye ATM

    Majibu ya Waziri Ngeleja ni kasumba ya viongozi wa kiafrika, wanajisahau sana wanapokuwa na nyadhifa, kuwa waziri sio afanye Atm room ni kama conference room. Majibu yake hayakidhi ni vile anajaribu kujitetea ili Mlinzi aonekane ana Makosa. Amejiaibisha sana.Tumuulize yeye Ngeleja kama angapata...
Back
Top Bottom