Mazingira yanaonyesha alikuwa na mpango wa kando, usiku ktk mambo yetu akajifanya mtt na kuanza kunyonya maziwa ya huyo mwenzake, matokeo yake akapitiwa na usingizi mkubwa huku mwenzie akichukua vitu vya Mh ili akamui
Mke kumwita mume mjinga ni kosa ila mume alitakiwa ajishushe na amueleweshe mkewe kwa upole na wote waombane msamahaa kwa kuelewana vibaya, kukimbia chumba ni sawa na kukimbia kivuli chake siku zote haifai kukimbia matatizo bali ni kuyakabiliia chumba anazidi kumjengea wasi wasi mkewe na kuhisi...
Wana Jf naomba ufafanuzi kuhusu malipo ya fidia kwa waathirika wa milipuko ya mabomu Mbagala & Gongo la Mboto, katika tukio la Mbagala wengi waliolipwa ni wenye nyumba zilizoathirika, je wapangaji kwanye nyumba mbalimbali zinazoathirika, na wenyewe huwa wanalipwa fidia? Maana nimekuwa nikiona...
kijana tunashukuru kwa taarifa lakini mbona umetuma taarifa wakati muda umebaki kidogo sana? Mbona hukutujulisha mara walipotangaza 11 JAN? Wengine walio sehemu za mbali kama Kanyigo, Liwale, Mbinga, Mpanda nk c mambo hayo yatawapaitia mbali sana. Wakati mwingine ukipata taarifa nzuri...
Majibu ya Waziri Ngeleja ni kasumba ya viongozi wa kiafrika, wanajisahau sana wanapokuwa na nyadhifa, kuwa waziri sio afanye Atm room ni kama conference room. Majibu yake hayakidhi ni vile anajaribu kujitetea ili Mlinzi aonekane ana Makosa.
Amejiaibisha sana.Tumuulize yeye Ngeleja kama angapata...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.