Search results

  1. BigBro

    Hivi kwanini ujenzi wa makanisa mengi ya KKKT huwa hauishi?

    Tangu nakua kule Keko Magulumbasi, kunapokuwa na ujenzi wa Kanisa la KKKT huwa miaka na miaka ujenzi haukamiliki. Mifano ipo Mingi tu. Tangu mwaka 1998 Kanisa la pale Korogwe Kimara KKKT ujenzi haujaisha. Segerea mwisho hadi kesho bado ujenzi haujaisha. Kibamba shule njia ya Kibwegere ujenzi...
  2. BigBro

    Timu zote AFCON jezi ni Puma kasoro Algeria!

    Naona timu zote zinazoshiriki michuano ya Afcon jezi wanazotumia chata ni Puma, kasoro Algeria tu. ao wapo na chata ya Adidas na ndio jezi nzuri zaidi kwenye mashindano haya. Tanzania sijaona chata yoyote. Namibia ndio jezi mbaya zaidi.
  3. BigBro

    Guardiola aliposhindwa mujibu swali la Henry

    Thierry Henry alimuuliza Pep Guardiola ni timu gani Bora kwake aliyotwaa nayo mataji matatu kwa msimu kati na Manchester City na Barcelona. Hichi ndio alichojibu Guardiola.
  4. BigBro

    Rais Samia na Jesca Magufuli

    Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan akisalimiana na Jesca Magufuli mtoto wa Rais wa Awamu ya Tano Hayati John Pombe Magufuli mara baada ya kuhutubia Vijana wa UVCCM wakati wa Shamrashamra za kuelekea Kilele cha Maadhimisho ya...
  5. BigBro

    Mwanariadha Pistorius aachiwa huru kutoka gerezani

    Mwanariadha wa zamani wa Olimpiki mwenye ulemavu wa miguu, Oscar Pistorius ameachiwa huru leo kwa msamaha nchini Afrika Kusini baada ya kukaa gerezani kwa takribani miaka 11 kwa kosa la kumuua mpenzi wake, Reeva Steenkamp. Alimpiga mpenzi wake risasi kadhaa kupitia mlango wa bafuni mwaka 2013...
  6. BigBro

    Australia rangi ya njano wametoa wapi?

    Naangalia kombe la Dunia la Wanawake hapa, michuano inayofanyika kwa ushirikiano wa nchi mbili ndugu, New Zealand na Australia. Mchezo wa kwanza New Zealand kashinda 1-0 dhidi ya Norway, sahizi ni Australia na Republic of Ireland. Timu za taifa zinatumia jezi zenye rangi ya bendera yao, lakini...
  7. BigBro

    Kuna wanaomkumbuka Lex Luger?

    Sisi wakongwe kidogo wakati mieleka inaanza kuoneshwa ITV miaka ya 1995, kuna mwamba. Lawrence Wendell Pfohl (born June 2, 1958) better known by the ring name Lex Luger sasa katimika miaka 65.
  8. BigBro

    Baba wa mke wa Rais Zanzibar

    Kuna anayemjua Baba wa Mariam Mwinyi ambaye ni mkatoliki mke wa Rais wa Zanzibar, Hussen Mwinyi?
  9. BigBro

    China haitaki Fedha yake kuwa ya Kimataifa(?)

    Ingawa dola ndiyo sarafu kuu katika biashara ya kimataifa duniani kote, vita vya Urusi na Ukraine vinaashiria hali mpya. Hiyo ni, China na Urusi zimekuwa zikifanya kazi katika kudhoofisha utawala wa dola ya Marekani. Vikwazo dhidi ya Urusi kutoka Marekani na Umoja wa Ulaya vimekuwa na athari...
  10. BigBro

    Nitarudi tena Colombia

    Kwenye Serikali ya Jakaya Kikwete nilitembea sana na nikafika nchi niliyokuwa na hamu nayo sana kufika ili nijionee ukweli wa hali halisi, Colombia. Nilifika Bogota nilikaa siku 14 baadae nikaenda miji ya Cartagena na Medellin, aisee zile muvi za kihuni za Marekani nilifikiri ni uongo, kumbe...
  11. BigBro

    Hivi Tanzania na Africa hatuna uhusiano na Latin America?

    Huwa najiuliza marais wa Africa ikiwemo Tanzania hatuna uhusiano na nchi za Latin America?(America Kusini). Nakumbuka Jakaya Kikwete aliwahi tembelea Brazil lakini sio nchi kama Paraguay, Colombia, Argentina, Ecuador, Venezuela, Chile na nyinginezo. Na pia marais wa huko ni kama hawana time na...
  12. BigBro

    Mhudumu wa Songea

    Nilifika Songea nikaaa bar moja inaitwa Serengeti, mhudumu aliyekuwa ananuhudumia nikamuona anazungumza na dada moja mzuri sana. Yaani mzuri elewa hivyo. Nikamuita nikamwambia yule dada uliyekuwa unazungumza nae nimemuelewa niitie, akasema yule ni mdogo wake mtoto wa baba yake mdogo ni mwalimu...
  13. BigBro

    Kwa mujibu wa Raphinha

    ▪︎Raphinha: 🗣 "Mashabiki wa Argentina wanamchukulia Messi kama mungu, Mashabiki wa Ureno wanamchukulia Ronaldo kama Mfalme, huku mashabiki wa Brazil wakishangilia Neymar kuvunjika mguu. Inasikitisha sana, kosa kubwa katika maisha ya Neymar ni kuzaliwa Brazil. Nchi hii haistahili hiki kipaji...
  14. BigBro

    Thomas Mlambo karudi Dstv

    Naona hapa Thomas Mlambo karudi Dstv kwenye Kombe la Dunia. Sijamuona kitambo sana.
  15. BigBro

    DStv nao wamepandisha vifurushi

    Naona DStv nao wamepandisha tena vifurushi
  16. BigBro

    Barcelona yaishitaki PSG usajili wa Messi

    Barcelona yafungua kesi Mahakami kupinga usajili wa Lionel Messi kujiunga na PSG, wakidai klabu hiyo haiwezi kumsajili mchezaji huyo kutokana na rekodi mbaya ya mapata na matumizi ya klabu hiyo, ambapo wanaamini wakifanya hivyo watavunja kanuni ya Financial Fair Play. Mawakili wa Barcelona...
  17. BigBro

    Tokyo Olympics: Marekani yabeba tena medali ya dhahabu mpira wa kikapu

    Ikiwa imeaanza kwa kusuasua kwenye michezo wa Olympic, Marekani imetwaa kwa mara ya nne mfululizo medali ya dhahabu kwenye michezo ya Olympic kwa kuifunga Ufaransa 87 kwa 82. ====== Team USA secured a fourth straight Olympic gold medal as they beat France 87-82 in Tokyo. It was the second time...
  18. BigBro

    Kwanini mamba hamfanyii fujo Kiboko?

    Huwa najiuliza sana, Mamba anakula nyama na Kiboko anakula nyasi, lakini wanaishi sehemu moja. Kwa tabia ya Mamba anakula mnyama yoyote anayekatiza mbele yake. Sasa mbona hamtafuni Kiboko na yuko nae muda mwingi?
Back
Top Bottom