Search results

  1. Gama

    Vita ya urusi na Ukraine inavyosababisha vifo vya Nyangumi

    Hali inaonesha kuwa kumekuwa na ongezeko la juu la vifo vya viumbe aina ya Nyangumi ambavyo vimehisiwa ni kutokana na ongezeko la vyombo vya baharini (manowali) baharini. Aidha miungurumo ya Helkopta na makombora yanayopita juu ya bahari pamoja na milipuko ya chini ya bahari inatajwa pia...
  2. Gama

    #COVID19 Hali ya Uviko-19 nchini China inatisha

    Nimekuwa nikifuatilia mitandaoni ambako taarifa za hali ya UVIKO huko china imekuwa ya kutisha. Yaonekana kuwa kuna vifo vingi, wagonjwa wengi to the tune of having no space in hospitals, having no support facilities na taabu nyingine nyingi. Najaribu kujiuliza, sisi tumejiandaa namna gani na...
  3. Gama

    Ndege ya DRC yaingia anga la Rwanda kwa mara nyingine tena

    Another DR Congo fighter jet violates Rwandan airspace Story by Germain Nsanzimana • Wednesday Another Sukhoi-25 fighter jet from DR Congo violated Rwandan airspace along Lake Kivu in the Western Province of Rwanda on Wednesday at around 12h00, and immediately returned to DR Congo. This is not...
  4. Gama

    Kifo kingine chenye utata kwa tajiri wa Urusi Pavel Antov

    Paavel Antov tajiri katika baishara ya Sausage amekufa kifo cha utata akiwa nchini India, inasemekana kifo chake kilitanguliwa na kifo cha rafiki yake. Chakushangaza ni kuwa wote wawili miili yao ilichomwa moto na hivyo wajuaje wa mambo wanashanaa kwanini miili yao ilichomwa moto ilihali wao ni...
  5. Gama

    Wakati Zambia wakimlilia Kijana wao Nyirenda aliyefia vitani Ukraine; mzaliwa wa Rwanda aachiwa na majeshi ya Urusi

    Mzaliwa wa Rwanda Suedi Murekezi ambaye inasemekeana kuwa ni - US airforce veteran alikamatwa na majeshi ya urusi katika mwezi June akiwa nchini Ukraine ni mmoja kati ya askari 64 wa Ukraine walioachiwa na majeshi ya Urusi kupitia SWAP ya mateka wa kivita wa pande zote mbili. ===============...
  6. Gama

    Hawa ndiyo akina mama wa Kitanzania

    Nami ngoja nilete bandiko langu kuhusu hawa akina mama zetu wa Kitanzania, hasa, ni kuhusu suala la mikado. Akina mama hawa wanaweza weka rehani nyumba ya familia wakakopa mafweza na pande kubwa ya fweza ikapelekwa kwao na wakati huohuo, huko kwao hutumia pande hilo kujisherehesha, na...
  7. Gama

    Mawe katika mfuko wa nyongo ya ng'ombe: Nini thamani/matumizi yake?

    Wadau, hii kitu inaonekana kuwa na thamani sana kwani bei yake imekuwa ikipanda bei kila siku na kwasasa thamani yake sokoni inazizdi bei ya dhahabu. Kwasasa, kwa Dar es Salaam gram moja inauzwa TZS 130,000 wakati dhahabu ni Tzs 90,000. Naomba kujuzwa matumizi yake kwa kuwa wanaooonekana...
  8. Gama

    Urusi: Makabila madogo yaongoza kwa kuwa na vifo vingi katika vita ya Ukraine

    Imeabainishwa kuwa minorities (makabila madogo) ndio wamekuwa wakifa zaidi hii inaashiria kuwa makabila hayo ndio walioorodheshwa kwa wingi. Hii inaashiria pia kuwa huenda Putin analenga kupunguza idadi yao kwa kuwa wengi wamepelekwa vitani bila kuwa na uzoefu. Mfano: Moscow [yenye watu...
  9. Gama

    Rais wa Chechnia Ramzani Kadyrov kupeleka watoto wake kumsaidia Putin

    Ramzani amesema kuwa mzazi mwema huwafunza watoto wake namna ya kulinda familia, hivyo amepanga kuwapeleka wanawe mstari wa mbele. Watoto hao hawajafikia umri unaokubalika kushiriki vita, kwani umri wao ni miaka 14, 15 na 16. Aidha, Rais huyo amerusha video zinazo onesha wanawe wakirusha...
  10. Gama

    Punde Ulaya itajitosheleza kwa nishati, nuclear fussion yaja

    UK imeanza majaribio ya kuzalisha nishati kwa kutumia Nuclear Fussion mfumo ambao umekuwepo ki majaribio tu Nuclear fusion plant to be built at power station Yesterday 8:08 PM React| Apower station has been chosen to be the site of the UK's, and potentially the world's, first prototype...
  11. Gama

    Rais Zelensky apendekeza dunia kumtambua Rais Putin kama gaidi

    Baada ya rais wa Ukraine kutembelea maeneo yaliyokombolewa na kukuta makaburi ya haraiki amependekeza viongozi wa dunia wamuorodhese rais wa Urusi katika orodha ya magaidi na wanaofadhiri ugaidi Soma hapa Tortured, shot, killed’: Zelensky accuses Russia of genocide after Izyum mass grave...
  12. Gama

    ugonjwa wa Ndui walipuka Zimbabwe

    WHO wameshtushwa na mlipuko wa ugonjwa wa ndui katika nchi ya Zimbabwe hasa kutokana na idadi ya vifi vilivyosababishwa na mlipuko huo. Mamlaka zimeanza kutoa chanjo dhidi ya ugonjwa huo ===== WHO triggers crisis response to Zimbabwe measles outbreak Isaac Kaledzi, Deutsche Welle - Yesterday...
  13. Gama

    Wahuni wavuruga mfumo wa Cab Urusi, tax zote zafuruka Moscow kumchukua mtu mmoja

    Septemba Mosi, mji wa Moscow ulipata mshituko baada ya magari yenye rangi ya njano(Cabs) kufurika city centre baada tax zote kupata call kutoka kwa mtu mmoja kupitia app ya Rusian Andex, ambaye, hata hivyo hakuwa na taarifa. Hali hiyo ilileta taharuki hasa kutokana na kuleta msongamano...
  14. Gama

    Tazama orodha ya zana zinazotolewa kwa Ukraine

    Mataifa ya Magharibi yameendelea kutoa msaada kwa Jeshi la Ukraine ili liweze kujikwamua dhidi ya mashambulizi ya Urusi. USA ameonekana kuwa kinara huku hata nchi zenye uchumi mdogo kama Poland ikitutumua FUATILIA HAPA Ukraine weapons: What military equipment is the world giving? By David...
  15. Gama

    Kuongezeka kwa ukubwa wa jeshi hakutaongeza mafanikio katika vita ya Ukraine

    Waziri wa ulinzi wa UK amesema kuwa mmpango wa Rusia wa kuongeza idadi ya wanajeshi ikijumuisha kuwabembelea wafungwa kuingia vitani hakutarajiwi kuongeza mafanikio katika mzozoz wake na Ukraine. Hii ni kutokana na kuwa Rusia imekuwa ikipoteza wanajeshi kwa wingi. Kwasasa Rusia anataka...
  16. Gama

    Vikwazo vyafanya maisha ya Warusi kuzidi kuwa magumu

    Maisha ya raia wa Urusi yamezidi kuwa magumu kufuatia Taifa hilo kuingia vitani na jirani yake Ukrain. Hali hii imefanya mataifa mbalimbali kuiwekea vikwazo kadhaa ikiwemo baadi ya raia kuziwa kusafiri na hivyo kudumaza biashara na upatikanaji wa boidhaa. Yasemekana raia wamebaki kimya kwakuwa...
  17. Gama

    Ukraine yaimarisha mashambulizi katika jimbo la Kherson linalokaliwa na Urusi

    Majeshi ya Ukraine yamefanikiwa kufurusha makombora na kuharibu daraja muhimu linalotumiwa na Urusi kupeleka bidhaa muhimu kwenye jimbo waliloteka la Kherson. Lengo la mashambulizi hayo ni kuwanyima huduma wapiganaji wa urusi walioko katika jimbo hilo. Ukraine steps up attacks on...
  18. Gama

    Wahudumu wa afya wa ziada waitwa kumhudumia Putin baada ya afya yake kudorora

    Tarehe 22 julai rais putin alilalamika kupata kichefuchefu kisicho cha kawaida hali iliyosababisha matabibu zaidi kuitwa ili kumhudumia. Taarifa hizo zilitolewa katika mtandao maarufu wa telegram katika chaneel ya SVR inayomilikuwa na Luteni Generali wa zamani katika vikosi vya ujasusi vya...
  19. Gama

    Mafua ya ndege yatikisa kisiwa cha Farne Islands - UK

    Mlipuko wa ugonjwa wa Mafua ya ndege uliotokea uingereza umeelezwa kuwa unahatarisha ustawi wa maelfu ya ndege wanaoishi katika kisiwa cha FARNE ambacho ni kisiwa muhimu kwa utalii. Kisiwa hiki ni makazi ya aina mbalimbali za ndege pori. MY TAKE: Kwakuwa baadhi ya ndege husafiri maili nyingi ni...
  20. Gama

    Kim Jong-un wa North Korea atiwa wasiwasi na maputo yaanayorushwa na mahasimu wake

    Wapinzani wa mtawala wa North Korea ambao wengi wao wako korea ya Kusini wamekuwa wakipeleka misaada jamaa zao walioko Korea ya Kiduku kwa kutumia maputo maalum yaliyojajwa hewa ya helium. Misaada amabayo imekuwa ikipelekwa kwa njia hiyo ni pamoja na madawa, barakoa na tembe za Vitamin c...
Back
Top Bottom