Kweli kabisa tigo wameshiba mapesa huduma hakuna tena.Customer care wanatia kichefuchefu pamoja na kulipia hako ka mia hawapokeiwanakuwekea matangazo yao na music masaa hata manne.Ukinunua muda wa maongezi kwa tigo pesa nayo tatizo wanakata salio lkn huo muda wa maongezi hupati.Kama unadharura...
Ahsante kwa picha huchoki kuziangalia.Obama bonge la rais naona wazungu hawaamini mpaka leo ni kiongozi wa kuigwa.Toa na ile ya uingereza akiwa na cameron wakifanya mambo fulani ya michezo ili marais kula kulala waone
Ubishi wa nini? Lazima tukubali marekani taifa kubwa pia hawakurupuki kutoa tamko kama hapa kwetu tz. Tumeona obama alivyochelewa kutoa tamko jiulize sababu nini?Alitaka aseme kitu chenye ukweli.
Hili jamaa lina heshima sana kwao lkn haya mengine mmmh! Ni tamaduni za kishenzi.Namuombea huyo mtoto ajepata akili tofauti aje tanua hayo mapesa.Kwani zipo za kutosha na si ajabu ataachiwa urithi wa kutosha.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.