Salam wakuu,
Naifuatilia hii thread... Naomba kama umepata data zaidi tujulishe mkuu
Majibu ya maswali yako yakoje (kama ulivyoshauriwa na mataalam)
Asante!
JD 3050 - Kama unaweza subiri kuna mzigo unaingia TZ (Toka UK) mwanzoni wa January, ukihitaji naweza nikatumbukiza humo maana ntakua na nafasi kiduchu - ntakupa contacts au ingia online, walipe jamaa moja kwa moja then nipe namba zao walete hizo jembe mizigo yangu ilipo ili viondoke vyote no...
Katika kupata update ya yaliojiri - Ningependekeza(ingawa nafikiri hii iko tayari kwenye agenda) kuwepo na minute taker ambaye angeweza email kila mtu action points baada ya kikao
Many thanks
Wakuu habari za leo na poleni na kulisukuma gurudumu hili ambalo linazidi uzito kila kukicha... Salute!!
Sasa ni hivi... Kwa kutambua mchango wenu wana JF... Naomba kuuliza swali general kuhusu biashara ya kukodisha Generators za KVA10 - 400 kwa Dar au Tanzania kwa Ujumla.
Nachotaka kujua ni...
Kwani wadau bei ya ngombe mmoja hapa Dar ni kiasi gani, na wa aina gani wanalipa zaidi? Au kama kuna aliyewahi kufuga basi tunaomba breakdown please! Thanks
Hi all,
Mimi nilikua nafikiria ALLIANCE FARM or UMOJA FARMING ALLICANCE... As I beleive the name speaks for itself and has more weight to it!!!
Hii itatusaidia baadae tukiamua kuingia kwenye projects nyingine tunaweza tumia ALLIANCE GROUP/UMOJA ALLIANCE GROUP
Or anything with Alliance in it...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.