Makuzi ya akili za watu yameambatana na mazoea, hali inayokwamisha maendeleo na ukosefu wa amani ndani ya nchi kwa maana muda wote watu hawa, hawawezi kujiamini bila kuona kile walichokizoea.
Mzozo mwingi umezuka kwa wenzetu wa Tanzania Zanzibar wakidai kuvunja katiba ili Rais alioko madarakani aendelee kuwaoongoza.Haiwezekani kuvunja katiba kwa sababu ya interest za wachache na kwa gafla kias hicho tafikiria kwamba watanzania hawafikiri.Swala nikwamba wanapaswa kujipanga nakujiwekea...
HESLB, Mkulima amekosa pesa ya kunulia jembe ,ameuza shamba ampeleka mtoto shule, sasa hajui atalima wapi siku akipata jembe.Je pesa ya kulipian fomu za mikopo atoe wapi?. Maoni muwezeshe huyo mtoto wamkulima ili aje aikomboe jamii hiyo ilyo katika mbaya.
Si waaliki kuwa watu wa kusoma tu na kuyaacha bali nawaalika kutafakari kwa kina kisha kutekeleza kwa vitendo. HESLB ,MAENDELEO ya Tanzania yanategemea wasomi wa hali ya juu ili kupambana na mwendo wa kasi wa sayansi na teknologia .Watanzania walio wengi hawawezi kumudu garama za kupata elim...
Asanteni sana Watanzania wenzangu kwa ukaribisho wenu, nami nifurahi kujiunga nanyi . Niaminicho ni kwamba FIKRA zenye malengo mema mwisho wake huwa ni ushindi,na fikra hizi husongwa na mwandamo wa vizuizi lakini si kitu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.