swala si kuwa ktk sheria au website za majeshi swala ni utendaji unapokuja ndo utajua majukumu yao.kwasasa ukisoma utaambiwa kaz ya jwtz ni kulinda mipaka.who said?
ulitaka aone babaako au.ndo mm nimeona ninyi chadema mnajifanya mnajua sana kuongea sasa nasi pia tunajua msitegemee tutakaa kimya tena mkija kwa ngum nasi twarusha ngum mkija iwa matusi hivyo hivyo mkitoka bungen nasi twatoka paka tutafika tu
Jaman najua mtakuja na katusi na lugha za kejeli mm huwa sijari.Kwangu nadiriki kusema ccm ina hazina kubwa sana ya viongoz bila ya kuwatafuta kwa touch.mwangalie mwigulu nchemba.nchimbi.makamba Junior maguful.membe.lukuvi hawa ni baadhi sana ambao muda wwte wakiamshwa kuongoza nchi wanaweza...
mkuu ndo maana wakaitwa police force.panapotakiwa wanatumia nguvu za mizan inayofanana na ukaidi.uliopo.umewai.ona mafinzo ya ffu.au polis wa kawaida.police hatongoz ktk kukutaka utii amri.kwao ni order tu.
kwanza ieleweke alimshitaki kwa madai yapi.na wakati wa mauziano nini waliandikishanaje.kuombwa vielelezo ni sawa maana lazima.wawaulize wote wawili.hapo naona kuna kitu ndan yake busara ni kusikiliza pande zote mbili.si rahis kusema kunavmazingira ya rushwa bila kujua mchakato wa mauziano na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.