Nyie mnaonekana mnajua kuchokonoa sana ngoj mpate presha majina ya waliopata yatatoka ndo utaratib sasa kam vi mb vya jero vinawasumbua ngojen mpate bp
Jamani hivi form six wanahusika katika ku apply dip au ni dip ndo wana aply kwend degreee na je kwa wale form six waliokosa sifa za kwenda degree nin hatima yao ....
acheni kupanik Sikh INA Massa 24 sasa wewe ulijua TCU Ni mgahawa kuwa wanadamkia kuuza chai ..halafu hukufuatilia pia guidebook ya degree walisema hvyo hivyo ILS waliwek kwenye SAA tatu usiku sasa kijan usilalmike wakati Sikh bado haijaisha ...subir ifike kesho ndo ulete Uzi wako
hao 380 ni wale wanaobaki udom then hao wengine wamepangwa vyuo vya serikal au unatak nikulrtee link udawn lod usiprnd kuchukua habri juu juu kama demu
*RASMI BODI YA MIKOPO IMEANZA KUPOKEA MAOMBI KWA FORM 6 NA WENGINEO,BONYEZA HAPO CHINI KUFANYA APPLICATION*
Ushauri wangu :
*SOMA KWA UMAKINI GUIDELINES BEFORE APPLYING*
Click here to apply>>>>> http://www.https://jamii.app/JFUserGuide/2016/06/bonyeza-hapa-kuomba-mkopo-bodi-ya.html?m=1
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.