Hicho kitabu kizima cha ufunuo wa Yohana hakistaholi kuorodheshwa kwenye biblia. Ni miixer ya ndoto pamoja na imaginatove thinking. Kinatisha sana na maja nyinyi hutumuwa na wahubiri mwenye itikadi kali na doomsday conspiracies. Mara wadai 666 is the sign of the beast.
Hamna documented record ya chatu wa Africa (Rock python) kumeza binadamu. Ila reticulated python ambao wanapatikana bara Asia (na ni wakubwa kushinda wale wa Aftica) ni kawaida kumeza binadamu kule Indonesia na nchi zingine.
Vyote ulivyitaja havijalishi, kuna wanaume wengi wanafwatilia mpira out of peer pressure na sio kwamba ni wapenzi wa mpira. Mradi unaipenda mbunye wewe ni mwanaume kamili.
Al Shabaab, Boko Haram, sijui Islamic state West Africa sio waarabu ila wamawaua wakristu kwa jina la huyo Allah wenyu. Tunawachukia waislamu kwa sababu hizo sio kwa sababu ya waarabu.
5th Freedom allows an airline based in country A to uplift passengers or cargo from country B to country C without going back to their hub i country A. Eg KQ currently operates flights from Kigali to Bujumbura, in reciprocation, Kenya has allowed Rwandair to operate from Mombasa to Dubai.
Kenya...
Zanzibar washenzi, mwezi wa Agosti nilitembea huko benki zote zilikataa kubadilisha hela za Kenya, wakasema wao wanachukua Dola tu, Euro na Sterling Pounds. Ilibidi nimtumie jamaa mmoja pale sokoni.
Mimi sio MTZ ila nimeangalia exchage rate ya USD to TSHS online. Yaani unaanzisha uzi kwa sababu ya 0.12 USD? Shilingi kumi na nane za Kenya? Kazi ipo.
Mbona huku 🇰🇪 ni kitu cha kawaida. Msimu wa Krismasi foleni huwa kubwa sana za watu kurudi vijijini (sisi tunaita mashambani). Sio kabila moja huku kwetu.
Mbaazi akikosa kuzaa........ Acha fikra za kipuuzi tupe total ya mapato na matumizi yako ya kila mwezi tukusaidie kubudget. Yaani utoke TZ hadi nchi za nje halafu badala ya kutumia fursa unaanza kusingizia uchawi?
Babu yangu aliaga dunia mwaka 2017 akiwa na miaka zaidi ya tisini. Boma lake kulikuwa na miti mingi sana ya asili na alipiga marufuku mti usikatwe hata mmoja akisema hataki waombolezaji kwenye msiba wake wahangaishwe na miale ya jua.
Kenya kuna uhuru wa mahakama sio kama TZ. Mahakama kuu ilitoa uamuzi kuhusu haki za mashoga ila hilo halimaanishi kwamba Kenya imekubali. Tayari rais amesema licha ya kuheshimu mahakama, yeye binafsi hakubaliani.
Sii Saturn pekee ambayo ni sayari yenye rings ila hivo rings za Saturn ni kubwa kushinda rings za sayari nyinginezo. Jupiter, Saturn, Uranus na Neptune pia zina hizo rings ingawa hazionekani vizuri.
Huku kwetu, baraza la mitihani KNEC pamoja na wizara ya elimu zilifutilia mbali kuorodheshwa kwa shule pamoja na wanafunzi kitambo sana. Sababu kuu ni hizo hizo za NECTA, kupigia shule promo, walimu kuzidisha ushindani hadi kutumua njia za mkato ilmradi shule zao ziongoze. Hata hivyo, vyombo vya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.