Salaam Wana JamiiForums,
Naanza andiko hili fupi kwa marejeo ya usemi usemao " Myonge Myongeni lakini haki yake mpeni" ni usemi wenye maana Pana kimantiki, Sasa ni miaka miwili ya Rais Samia tangu ashike hatamu ya uongozi wa nchi, amefanya mengi hata ambayo wahafidhina ndani ya CCM na nje ya...
Mkuu, hoja ya Paschal inaeleweka na ipo wazi kuwa ni kweli Watanzania wengi wamefurahi ndege kukamatwa, na furaha yao ni matokeo ya pengine kutosikilizwa ushauri wa wadau juu ya hizo ndege na sababu nyinginezo za kisiasa, nafikiri bandiko la P. linaeleweka wala halina uhusiano na unasaba wa...
Wanabodi nawasalimu kwa heshima kubwa.
Jioni ya leo nimetoa maoni yangu kwenye uzi wa Ng'wamapalala, unaosema '' Kwanini wanahabari wazaliiwa wa maeneo ya Kagera huwasumbua watawala nchini'' Kwenye maoni yangu nikasema wapo baadhi ya waandishi wanatoa hoja zao kwa mantiki na mrengo chanya wa...
Misingi yao ya elimu ni matokeo ya ujasiri wa kuhoji na kufanya uchambuzi wa masuala muhimu yanayohusu taifa letu, sio ukorofi wala ufitinishaji bali ni maarifa yao ya kutumia taaluma na weledi kujenga nchi katika dhana ya kuhoji.
Umetaja wengi lkn nakuongezea na Deogratias Mutungi ni...
Aliyepigwa chini ni ndugu Makwega wa Mbozi na ni Mwanahabari aliyepata kuhudumu TBC Taifa akiendesha kipindi cha habari na Muziki cha saa 12:00 jioni hadi saa moja usiku.
Si vema kuijadili bajeti ya marehemu kulingana na mazingira ya kifo chake, lkn ifahamike kuwa hii ni bajeti elekezi kutoka serikalini, kumekuwepo na vikao vya pande zote mbili serikali na wawakilishi wa familia kuona ni jinsi gani wanaratibu jambo hili kwa busara zenye fidia ndani yake.
Media...
Tuibiwe nini sisi, taifa limekosa dira tumewekeza kwenye sera na falsafa mpya za kupoteza mabilioni ya pesa za wanyonge kwa marudio ya chaguzi ndogo kwa kisingizio cha "Democracy". America, China na nchi za Magharibi awana mpango na kudukua mambo yetu, si kwamba awawezi wanaweza sana ila wanajua...
real G Musiba najua unachokitafuta najua dhamira yako ya kutafuta cheo kwa gharama yoyote, usijenge hoja kwa ujumla wa sisi watanzania bali jenga hoja kwa sisi wasaka tonge, uliwahi kusema "wamenisahau hata ukurugenzi"
Yatosha sasa kutafuta cheo kwa mgongo wa kunajisi katiba, Mr. President...
Tunao Wahariri ambao wanajulikana kwa jina la "Butcher Editor" wengi wao ndani ya newsroom wapowapo tu ndo maana wakati mwingine tasnia inaonekana "Mdobwedo" while not kinachoitajika ni kuwapata Wahariri wenye ujuzi, weledi na umakini kwenye taaluma. Ifahamike kuwa Journalism ni Professional...
Tunahitaji kuwa na upinzani imara wenye dira madhubuti ya kupigania maendeleo ya kitaifa kwa nyanja zote ikiwa ni pamoja na uchumi, kubomoa upinzani na kuimalisha chama ili kurudi kwenye enzi za chama kimoja na kudumisha fikra za mwenyekiti si jambo jema kwa dunia ya sasa.
Hata hivyo naamini...
Mkuu naheshimu maoni yako, lakini nikufahamishe kuwa kosa moja la mwanataaluma wa habari lisikufanye uichukie tasnia nzima ya habari ikiwa pamoja na waandishi wake, tunao waandishi makini, weledi, wasomi na wanaofanya kazi zao kwa utaalamu zaidi, Mkapa si Malaika kuwa kila tusi lake lina...
Sheria ni msumeno, na binadamu wote ni sawa, Hakuna binadamu bora kuliko mwenzake, kilichompata lulu kinaumiza kwa roho ya kawaida lakini kwa mantiki ni haki yake aliyostahili kulingana na hatia aliyokutwa nayo na mahakama. "Eti kuonewa huruma" Kwangu si hoja, wapo wangapi Jela waliofungwa kwa...
Huyu mbunge kwa sasa ameshamuandaa kijana wake atakaye chukua mikoba yake, ni mkuu wa shule kati ya shule za huyo mama, tunafahamu mbinu na nguvu ya hela aliyopanga kuitumia kuhakikisha jimbo linabaki kwa ndugu, Prof. Atambue kuwa CCM ya ssa nitofauti na ya zama zile za uswahiba na undugu.
Duh! hii ni hatari, bahati mbaya sijui umri wako nikiwa na maana ya wewe ni mzee au kijana lakini kama nikijana na unahoji na kujenga hoja kama hizi basi taifa, ukoo, jamii na familia zina hasara hatuwezi kuwa na watu wenye mawazo uji tukasonga mbele, kiongozi mmoja aliwai kusema tunao vijana...
Huyu kiumbe anayeitwa Lemutuz ni kati ya wazee wanaozeeka vibaya, hoja zake uwa niza kusikitisha licha ya kujinasibu ni msomi wa level ya juu lkn mambo na matendo yake hayana tofauti na brother Kirikuu.
Mwenge ni kichocheo cha maendeleo na miradi iliyolala kwa muda mrefu katika maeneo yetu hapa Tanzania, Mwenge unaweza kuhamasisha na kuchochea ukarabati wa barabara ambayo ili sahaulika miaka hata mitano iliyopita.
Swali la kujiuliza hapa ni je bajeti ya uendeshaji wa Mwenge inatoka wapi...
Hili kukwepa majanga kama haya ya Makinikia tunahitaji serikal iweke mikataba wazi ili kila mzalendo asome na kutoa maoni yake kwa manufaa ya Mama Tanzania, kuendelea kuficha mikataba ni kuendelea kuliangamiza taifa na kuhalalisha umasikini usio kuwa wa lazima.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.