bendi hizi hazina mfano.inasikitisha mno.maana nyimbo zilijaa mafunzo bila kusahau burudani.ukichanganya na wale watangazaji walizoziendesha,ilikuwa raha tele.kwa hivi sasa hamna kitu.fujo moja kwa moja
kwa upande wangu waliyonifurahisha sauti zao hat ikanipa mori kusikiliza rtd ni pamoja na Halima Kihemba,Domtila urasa,mikidad mahmoud Anna Gogo,Abdallah Idrissa Majura,Yusuf Seif Nkamba,Salim Mbonde,Angalieni Mpendu,Sara Dumba,Christina Chekunegela,Charles Hillary Titus Filipo,Bati...
dar at night,lazima nikayaone na macho yangu.kuna uhondo bila shaka.lakini ndiyo maisha,kazi adimu,mishahara ndiyo hiyo.simpondi huyu dada.ila ushauri wangu,usisahau soksi
imani tunayo bado kuwa Nguza na wanaye wataachiliwa huru.hawajaua mtu masikini.ni uonevu usiojulikana mwanzo wala mwisho.hizi sheria za shagla bagla zitatumaliza wanyonge
hawa ndio vigogo,yaani moyo unakuwa mzito nikiwafikiria.mimi ni mkenya lakini redio yangu wakati huo ilikuwa inashika tu rtd.kuanzia jambo hadi usiku mwema.loo.... ama kweli
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.