Tarehe 18 july majira ya saa 11.00 asubuhi mwizi alivunja dirisha na kuingia ndani kwa jirani zangu eneo la Kiharaka, Bagamoyo. Jirani walikuwa na mgeni wao kutoka Ulaya na siku hiyo hiyo muda mfupi kabla ya kuvunjiwa, mgeni alisafiri kwenda Tanga.
Mwizi aliingia kupitia dirisha la chumba...
Asante mtu mzito kwa jibu zuri.Nina dada yangu alikuwa anapendana sana na mumewe. Mawifi zake waliona kuwa kaka yao hawasaidii wakijua sababu ni wifi yao.Hawakujua kama misaada yote waliyokuwa wanapewa ni wifi ndiye aliyesababisha. Walidhani kaka yao ana uwezo mkubwa kumbe hakuwa na lolote.Ni...
Inahitajika nyumba ya kupanga haraka jijini Dar.
Maeneo
Kijitonyama
Kinondoni
Makumbusho
Mikocheni B.
Mwananyamala Komakoma
Aina ya nyumba:
Iwe na vyumba 2 vya kulala(kimoja kiwe master)
sebule
jiko
choo cha jumuiya
Umeme wa luku inayojitegemea
Maji
Kwa mwenye nyumba wasiliana na 0714 686 686
Nyumba ya kupanga inahitajika kuanzia januari 2015
AINA
Vyumba 2 vya kulala kimoja kiwe master bedroom
Sebule
jiko
choo na bafu
Luku ya kujitegemea
MAENEO
Kinondoni
Mikocheni (isiwe Mikocheni A)
Kijitonyama
BEI: 200,000.- MPAKA 300,000.-
ANGALIZO: DALALI HATAKIWI!
Wasiliana na...
Wana JF naombeni ushauri wenu. Je, mbali na kupendeza madirisha yapi ni bora kati ya yaliyotengenezwa kwa aluminium au mbao?Je,kwa wale wenye uzoefu,bei zake zikoje kwa aina zote (aluminium na mbao) kwa standard ya dirisha la kawaida?
Nategemea kupata majibu ya kunisadia.
:smiling...
Wana JF naomba ushauri kuhusu vitenge(african print) kwa wale wenye uzoefu na bidhaa hii.Nina project inayohitaji kutumia vitenge(african print) kwa wingi(kwaajili ya nguo).Tatizo nimejaribu ku-google na nimegundua kuwa kuna aina nyingi za vitenge kutoka sehemu tofauti. Awali nilidhani vitenge...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.