Search results

  1. U

    Kwa Nini Uchumba ni "Mtamu" Zaidi Kuliko Ndoa Kwa Walio Wengi?

    Hata mimi sijaona ndoa ambayo haijapitia uchumba, unajua watu hatuelewi maana halisi ya uchumba...Uchumba ni maisha ambayo yanawakutanisha wawili kuweza kufahamiana kitabia,mila,desturi na familia ya kila mmoja wao kati yao ndio hupelekea mmoja wapo kuridhia na kupeleka posa..Lakini uchumba wa...
  2. U

    mngechukua uamuzi gani

    Hayo ni matatizo ambayo watu wengi wanaoingia katika ndoa wanakutana nayo. huwezi leo hii unaenda mjini unakutaka na binti halafu eti unatangaza ndo.....humjui yeye...!!!kwao huwajui....!!! ukimkuta tasa inakuwa yale matarajio yako umeyapoteza ndio maana huyo jamaa alipopewa option ya kuzaa na...
  3. U

    Kumchungulia mkeo msalani

    Huu ni upotevu wa maadili na pia naweza kusema ni matatizoau athari za kisaikolojia kwani ukiwa kama mtu mzima, mkeo mmeona ili muweze kubarikiwa mambo yoote ya ndani. Ni kitu gani ambacho wewe kama mume hujui kuhusu mwanamke?Ukizingatia wanawake wote wako sawa kama mkeo kimaumbile. Huyu...
  4. U

    Ukereketwa wa dini

    Hilo hata mimi nilikuwa naliwaza kwa muda sana, ila nafikiri mara nyingi mtu akihamia dini nyingine huwa kuna imani fulani imemvuta kuwa kule. na hivyo hujikita sana kiimani ili waumini wengine nao wavutiwe kuelekea huko alikohamia sasa.
Back
Top Bottom