Waheshimiwa sana salaam.
Mimi ni mkaazi wa Dar es Salaam na hivi karibuni nimepata interest ya kufuga bata na kwa kweli nimeamua kuanza ufugaji wa bata wa kienyeji (bata maji) ila ninapenda kununua mayai bora yanayoweza kutotolewa kwa mashine na niyatotoleshe mwenyewe kisha nikuze vifaranga...
Habari wana JF,
Napenda kuwatangazia nafasi moja ya Kazi ya kuoka mikate kwa kutumia jiko (oven) la mkaa. Yoyote mwenye ndugu, jamaa au rafiki mwenye ujuzi huo Na aliye tayari awasiliane nami kwa namba 0629 04 47 34 haraka iwezekanavyo.
Hakuna usaili wowote. Unachotakiwa kujua Ni kuoka mikate...
mimi sikutelekezwa, bali alinilea kama analea "mzoga" nyumbani kwake! hakunipenda na mara kadhaa aliniambia hakuwa baba yangu, vipigo vilikuwa sehemu ya maisha yangu. mara kadhaa akishirikiana na kaka yangu mmoja. huyu kaka ilifikia mahali nikamwambia ukweli kuwa ajitahidi anipige hadi aniue...
hawa akina Zitto ndio aina ya viongozi tulionao leo. wanapenda kuusimulia na kuuelezea uzalendo lakini hawawezi kuutekeleza kwa vitendo. wanatufundisha waliyofanya akina Mbita, ila wao wako bize na ACT wakipambana na wapinzani wenzao. eti wanajiita wazalendo! watamfikiwa Mbita hata kwa robo tu...
hapo penye red ndipo paliponifanya kuuliza swali hili.................... sasa tuambie mizambwa ni kiungo gani cha mwili................. na kinachofanya mizambwa yako ikuume kila siku ni nini................. huendwa ukapata hapa tiba yake..............
duh,................. mods bado tu hawajaushtukia huu uzi??................. we masa ungetia vineno kama hivi kwenye msiba wa regia, ungekiona cha moto kutoka kwa mods.............................. beware!
mengine ya kuchapia.................. mfano urefu wa nchi 130 kwa penbe......................m hapo sio kweli............... halafu tembo hawezi kuswaga wanawake................... anaweza kupanda majike ya tembo tu................ hakuna mwanamke duniani anayewezxa kumhimili...
kusema kweli hata mimi sijaona chochote cha "maana" na cha "kukumbukwa" alichoifanyia tz.................. kama ni "kusoma" ripoti mbona hata mimi wangenipa ningesoma!!................... kusoma tu??................. hilo tu ndiyo tumkumbuke na kumshukuru na kumtukuza kama...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.