Search results

  1. kizito2009

    Phishing, Spoofing and Whaling: Tips for Keeping Your Company Safe

    Phishing occurs when a third party attempts to impersonate a genuine source to send or infiltrate fraudulent communications. Typical examples include impersonating banks, insurance brokers and cloud storage providers. Phishing techniques are commonly disguised within genuine-looking emails and...
  2. kizito2009

    Tafsiri halisi ya turnover na changamoto ya ulipaji kodi

    Katika Jedwali la kodi la TRA unatumika mfumo wa kutumia turnover kukadiria kodi. Kwa mtu mwenye turn over isiyozidi milioni 20 analipa presumptive tax ya tzs 865000 ambayo ni sawa na kama 5% ya mapato yote kwa mwaka ambayo ni sawa na kiasi cha TZS 72000 kwa mwezi.Iwapo hesabu hazijakaguliwa...
  3. kizito2009

    NIDA-Kwa nini msiwezeshe maombi ya online?

    Mimi binafsi nincho kitambulisho cha TAIFA ila baada ya kufikiri nimeona kwamba kwa sababu tayari tunao uwezo kuomba Passport online kwa nini mifumo ya NIDA isibadilishwe kumwezesha mtu kuomba kwa njia ya online na kisha taratibu za uthibitisho na kukusanya kitambulisho ndo ziwe manual.Hii...
  4. kizito2009

    Je Ni wakati sasa kwa utumishi kutumia mfumo wa Aptitude test katika kuwachuja waomba kazi

    Habari wadau; Binafsi huwa napenda kufikiri nje ya Box.Gharama na muda wanaotumia Utumishi katika kuwaita watu kwa mitihani kusahihisha n.k.unaweza kusahihishwa kwa kuleta mfumo wa Aptitude test ambayo inafanyika online.Yaani baada ya kuomba nafasi,muombaji atafanya timed tests online kwa ajili...
  5. kizito2009

    Private web development Class for non-developer

    Are you fascinated by the web and want to get a glimpse of the tricks of web development? Do you want to learn web development and start building your own website for your own business? Do you want to employ yourself and earn additional revenue by taking up web development jobs Are you a web...
  6. kizito2009

    Invoice and Quotes on the GO

    Kuwa mjanja Je wewe ni mjasiriamali ambaye mara kwa mara unatoa quotes pamoja na invoices kwa ajili ya wateja wako? Je huwa unachapa vitabu vya quotation pamoja na invoices kwa ajili ya Biashara yako Je unapenda kupunguza gharana za uendeshaji? Je ungependa kupunguza matumizi ya karatasi ili...
  7. kizito2009

    7 Saba Ofa

    Jipatie Printer Used ya Epson L382 kwa gharama ya TZS 350,000.Maongezi kidogo yapo Kwa wanaohitaji tuwasiliane kwa PM Karibu
  8. kizito2009

    Jinsi ya kufahamu kama Biashara yako inahitaji tovuti

    Moja kati ya maswali na changamoto ambazo huwa nakutana nazo mara na wateja hawa ni swala la Je kweli wanahitaji kuwa na tovuti? Baada ya kuzungumza na kushauri wateja wengi kuhusu suala hili nimeona ni vyema nikaandika kwa kifupi namna bora ya kufahamu iwapo biashara yako inahitaji...
  9. kizito2009

    Jipatie Domain pamoja na hosting kwa TZS 45000 kwa mwaka

    Habari wadau: Ofa inaendelea Jipatie Domain pamoja na hostin kwa mwaka kwa gharama ya TZS 45,000 tu kwa mwaka.Hii ni ofa maalum kwa wanaoanza.Domain.ni za .com.na .co.tz. Gharama za designing ni maelewano Tuwasiliane kwa email:sales@appserver.pw Simu 0717512851 Au comment NAHITAJI...
  10. kizito2009

    Organize Shuguli zako kwa Kutumia ERP na CRM Systems

    Habari za wakati huu; Je wewe ni mjasiriamali mdogo na wakati? Je wewe ni mjasiriamali unaeanza biashara? Je unahifadhi vipi taarifa za biashra yako Je unafuatiliaje utendaji wa Biashara yako? Jaribu kufikiri iwapo utakuwa na uwezo wa kupata taarifa mbalimbali kuhusu biashata yako pamoja na...
  11. kizito2009

    Je, ni wakati Sasa wa kubadili muundo wa serikali?

    Ninaangalia sasa uelekeo wa nchi na jinsi sekta zinavozidi kusahauliwa Nafikiri sasa ni wakati wa kubadili muundo wa serikali hasa kwa upande wa Cabinet Nafikiri Cabinet isitokane na wabunge na wakienda Bungeni wasipige Kura Yoyote.Badala yake Cabinet iwe kama ilivyo kwa Wakuu wa Miko na...
  12. kizito2009

    Je, Magufuli anatupitisha katika Mapinduzi ya Utamaduni?

    Habari Comrades Napenda watanzania wote watambue kwamba kwa sasa kama taifa tunapitia katika kipindi cha mapinduzi ya kiutamaduni Mapinduzi haya yanhusisha mabadiliko ya kisiasa kiuchumi,kijamii n.k,Katika kipindi tunahitajika kama raia kuunga mkono juhudi za serikali.Tunapaswa kwa pamoja...
  13. kizito2009

    Mimi ni mwalimu wa ICT nina uwezo wa kufundisha maeneo yafuatayo

    Mimi ni mwalimu wa ICT nina uwezo wa kufundisha maeneo yafuatayo; Basic Introduction to Computers Internet and Email Graphic Design Web design and development Social Media Management Pia nafundisha: English Basic Accounting/Book Keeping E-commerce and Drop Shipping Marketing Management Kama...
  14. kizito2009

    Fikra za kimasikini ndio chanzo cha umasikini wote na ndio umasikini mbaya kuliko wote

    Karibu katika mjadala huu.Mimi ni Pwagu nduguye Pwaguzi; Kumekuwa na kamsemo maarufu kahusucho umaskini wa kifikra.wengi wameudadavua msemo huu nami leo nataka kuwa mmoja wa wadadavuzi Fikra za kimaskini ndio chanzo cha umaskini wote na ndio umaskini mbaya kuliko wote. Umaskini wa mawazo...
Back
Top Bottom