Search results

  1. kizito2009

    Gazeti la Mwananchi online lafungiwa miezi sita na kulipishwa faini milioni 5 kwa kupotosha

    Bia yetu, Mkuu hili si suala linalohusu mabeberu wala nini. Itazame hoja yangu beyond hizo sentiments. Media ndo namna pekee ya umma kupaza sauti. Serikali inayofanya kufungia media kuwa jambo rahisi inakuwa inajinyima yenyewe haki na uwezo wa kuwatumikia wananchi kikamilifu.
  2. kizito2009

    Gazeti la Mwananchi online lafungiwa miezi sita na kulipishwa faini milioni 5 kwa kupotosha

    Sio kila kitu ni ufipa na ufupa.Tazama msingi wa hoja yangu.Kufungia chombo cha habari haipaswi kuwa rahisi hivyo.Kuna mambo hata viongozi wa serikali watakosa kuyafahamu kwa sababu ya vyombo vya habari kuwa na hofu ya kufungiwa.
  3. kizito2009

    Gazeti la Mwananchi online lafungiwa miezi sita na kulipishwa faini milioni 5 kwa kupotosha

    Inapokuwa rahisi kufungia gazeti kwa kuandika habari basi ujue tatizo sio gazeti bali ni waliolifungia.Serikali ina mambo inaficha
  4. kizito2009

    Invoice and Quotes on the GO

    Punguza maalum kwa mfumo wa invoicing and quote generation
  5. kizito2009

    Kampeni ya kuikataa Vodacom

    HIvi kuna watu bado wantumia Vodacom?
  6. kizito2009

    Je, ni kweli Ugali wa Dona ni bora kuliko wa Sembe?

    Kwa sababu Sembe ina meng'enywa kwa urahisi a upesi zaidi kuliko Dona
  7. kizito2009

    Phishing, Spoofing and Whaling: Tips for Keeping Your Company Safe

    Phishing occurs when a third party attempts to impersonate a genuine source to send or infiltrate fraudulent communications. Typical examples include impersonating banks, insurance brokers and cloud storage providers. Phishing techniques are commonly disguised within genuine-looking emails and...
  8. kizito2009

    Je Ni wakati sasa kwa utumishi kutumia mfumo wa Aptitude test katika kuwachuja waomba kazi

    Haina shida,kujua tu yalipo majibu inahitaji mtu uwe resourceful
  9. kizito2009

    Tafsiri halisi ya turnover na changamoto ya ulipaji kodi

    Katika Jedwali la kodi la TRA unatumika mfumo wa kutumia turnover kukadiria kodi. Kwa mtu mwenye turn over isiyozidi milioni 20 analipa presumptive tax ya tzs 865000 ambayo ni sawa na kama 5% ya mapato yote kwa mwaka ambayo ni sawa na kiasi cha TZS 72000 kwa mwezi.Iwapo hesabu hazijakaguliwa...
  10. kizito2009

    NIDA-Kwa nini msiwezeshe maombi ya online?

    Mimi binafsi nincho kitambulisho cha TAIFA ila baada ya kufikiri nimeona kwamba kwa sababu tayari tunao uwezo kuomba Passport online kwa nini mifumo ya NIDA isibadilishwe kumwezesha mtu kuomba kwa njia ya online na kisha taratibu za uthibitisho na kukusanya kitambulisho ndo ziwe manual.Hii...
  11. kizito2009

    Je Ni wakati sasa kwa utumishi kutumia mfumo wa Aptitude test katika kuwachuja waomba kazi

    Habari wadau; Binafsi huwa napenda kufikiri nje ya Box.Gharama na muda wanaotumia Utumishi katika kuwaita watu kwa mitihani kusahihisha n.k.unaweza kusahihishwa kwa kuleta mfumo wa Aptitude test ambayo inafanyika online.Yaani baada ya kuomba nafasi,muombaji atafanya timed tests online kwa ajili...
  12. kizito2009

    Jipatie Domain pamoja na hosting kwa TZS 45000 kwa mwaka

    Habari wadau ofa inaendelea kwa wanaohitaji unapata website nzuri kabisa kwa gharama nafuukabisa.Vigezona masharti kuzingatiwa
  13. kizito2009

    Wazo la mapato mapya kwa Serikali

    Sasa wewe unafikiria hio 6000 watatoa wapi kama hakuna ajira kwao?au watu wanachapisha hela majumbani kwao?
  14. kizito2009

    Private web development Class for non-developer

    Are you fascinated by the web and want to get a glimpse of the tricks of web development? Do you want to learn web development and start building your own website for your own business? Do you want to employ yourself and earn additional revenue by taking up web development jobs Are you a web...
  15. kizito2009

    Invoice and Quotes on the GO

    Mkuu tunaweza jadili hilo.Karibu
  16. kizito2009

    Mwanaume mwenzangu usioe mwanamke aliyekuzidi uchumi/Hela utanyanyasika na kufa mapema

    he umefanya jambo zuri ila naona jinsi unavomchimba mkwara mbele ya wanenu
  17. kizito2009

    Invoice and Quotes on the GO

    Hio image ni ya client view link kama unavoona anaweza bofya reject au approve
Back
Top Bottom