kakangu wanawake tunapenda kupendwa na kuambiwa mambo mazuri all the time and most important ni kuwa assured that hatuibiwi nje,so as u said ur a good husband please ongeza MALOVE AND ATTENTION thats it.mi nahisi kuna body language uliionyesha wakati unaongea na huyo kicheche wako wa zamani...
im afraid that unajua FB users wengi wana click tu option ya like au to add mtuas a friend just to see photos,news ,umbea etc so msiwahesabie sana hawa watu na mkitaka kuchunguza wengi ni mashabiki tu na wengi ni watoto na watu wasio busy na maisha.come=on guys hivi FB nayo mnataka kuipa status...
you guys are not serious!msaidieni mwenzenu mkoje nyie!mi ningekua mwanaume ningekusaidia lakini nafikiri hii ni more psychological,nilishawahi kuwa na mtu ana kibamia lakini alivyo na confidence na anavyokitumia acha kabisa!ufundi tu,hizi dawa dawa mnazomsahuri mwenenu zingine zinaweza kuwa na...
usidanganyike kimbweka, kama wa kutoka nje atatoka tu maana unaweza ukawa umamsugua mara tatu na bado hajafika kileleni anakuridhisha wewe tu.kwani mashindano haya jamani?:A S angry:
mi natamani sana kukutana na rev masanilo,invisible,mzee mwanakijiji na Buchanan.kuna wengine pia wengi sikumbuki majina yote but kuna moja huwa ananichekesha sana nahisi ana vituko akiwa live hivi JF hakunaga get together jamani tupombeke na hata brunch fulani?that will be nice pls admins im...
kuna watu makatili duniani jamani.mi sina mtoto lakini nimepata uchungu wa ajabu yaani hapa machozi yananilenga mtoto wa mwenzako unamfanyia hivyo na bado unaendelea na shughuli zako bila hata kustuka roho.?tumetofautiana kwa kweli lakini huko arusha ni nini watu wana hasira hivyo?:A S angry:
hongera sana,inafurahisha kuona vijana wenzetu wanaenda mbali katika kulijenga taifa na tunaamini na wewe utakuwa mwakilishi wetu mzuri bila kuweka tofauti za kisiasa na nimependa confidence yako omethubutu kuingia jamvini bila kujificha na kutetea hoja,yo are the man.
Ndio mtuwakilishe vizuri...
Msaada ndugu wananchi, nina shida nataka kununua kiwanja na dalali kanionyesha huko kigamboni lakini sasa nimetokea kupewa ushauri na wengi eti kwamba uuzaji wa viwanja Kigamboni ulisitishwa naomba kwa yeyote anayejua tafadhali mnipe muongozo maana nimejjaribu hata kuwauliza watuu wanaofanya...
acha zako wewe halafu unajulikana ulivo na mambo yako haviendani.are you a saint?na sikatoka jela kalipia makosa yake wewe nini kinakusumbua?hiviwatanzania wa nje ya nchi wana matatizo gani na majungu?fuateni kilichowatoa nchini mwenu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.